JamiiTalks Tutumie taarifa za Rushwa ya Ngono na Unyanyasaji sehemu ulipo, ili Mamlaka za Serikali zizifanyie kazi

Katika kijiji cha Tella Mande kilichopo wilaya moshi vijijini kata ya old moshi, kaskazini mwa mji mdogo wa Kiboriloni upo mradi wa maji wa 900m ambao umesimama kwa hujuma ya mkandarasi na wahandisi wa maji. Walitandika mabomba undersize na wananchi walipopiga kelele wakayatoa na hawajaleta mengine na site hawaonekani.
Ofisi ya mradi iliyotarajiwa kugharimu 50m kama ilivyo kwenye andiko ndio kichekesho kama inavyoonekana hapa.
Wahusika wooote. Kimyaaaa.View attachment 1291311

Sent using Jamii Forums mobile app
naona umepitia MLANGO wa kutokea
 
Mfumo huu upo Sana kwenye system ya medical school. Watoto wakike wanajikuta hawana option Ila kutoa rushwa za aina hiyo.

Madaktari wanao fundisha wanamamlaka makubwa Sana juu ya hatima ya ufaulu wa wanafunzi wao.

Daktari anaekufundisha ndio anakutungia mtihani, mtihani ipo ya aina si chini ya tano, Insha ndefu, Insha fupi, ya kutambua vitu, ya kujieleza Kwa Mwalimu wako na ya kumpima mgonjwa Kwa vitendo mbele ya Mwalimu.

Hivo basi ukiangalia mitihani ya ainahii inapima ufahamu na haina ushahidi ukiachilia ile miwili ya mwanzo na Mwalimu akiamua kukufelisha ni rahisi Sana na huna cha kumfanya.

Ikumbukwe kua si tuu walimu huomba rushwa ya ngono Bali hata mabinti wasiojiweza huwahonga ngono walimu ili wafaulishwe na matokeo yake ni kupata madaktari wa hovyo.

Kwa sababu hiyo sidhani Kama PCCB watatatua tatizo hili la kimfumo .

Nadhani wizara ya afya na TCU wabuni mfumo rafiki Kwa madaktari wanafunzi wa kike.

Ningeshauri madaktari wanafunzi wakike watahiniwe na walimu wa kike tena kutoka chuo tofauti na kile wanachosomea. Hili litamaliza tatizo hasa madaktari hawa wakiwa na uhakika kua walimu wao wa kiume hawana mamlaka juu Yao Kwa kutahiniwa

Nasikitika kusema kua hili limechelewa kuja na kwavile limefikishwa hapa naomba tutambue kua watoto wetu wanaliwa hasa, na haishii hapo na wengine wanaambukizwa magonjwa, wengine wanaathiriw kisaikolojia Kwa kuhonga bikra zao na mengine mengi..... Hivo basi tuwaunge mkono watoto wetu
.
 
Hili la Dr Vicensia Shule nilisikia tu ameitwa kamati ya Maadili ya chuo.
Baada ya hapo sijui kama limefanyiwa kazi.
Mrejesho kwenye hili ni muhimu
 
Ni mwaka wa kumi nafanya kazi za utawala katika elimu ya juu. Shida kubwa hizi kesi zinapotaka kushughulikiwa, wanafunzi huwa hawatoi ushirikiano wa kutosha kwa hofu ya kwamba huko mbeleni atakwamishwa. Lakini in reality hakuna mtu anaweza kukukwamisha kwasababu tu ulimreport. Kuna haja kubwa kwa wanafunzi na jamii kujengewa uwezo na kujiamini ili kutoa taarifa za matukio kama haya.

Ni kweli kabisa. Kuna haja ya elimu kwa wanafunzi, shida ni kubwa. Najua kuna chuo kimoja kilipiga maraufuku kabisa mahusiano ya siri kati ya wanafunzi na walimu; mkitaka kuwa na mahusiano lazima mripoti kwa mkuu wa chuo. Ilipunguza sana matatizo.
 
Naomba tusaidiane kutofautisha baina ya rushwa ya ngono na mapenzi binafsi? Je mkufunzi wa chuo haruhusiwi kuwa mahusiano au hata ndoa na mwanafunzi? mapenzi binafsi huanzia kwnye kutongozana,sasa tunatofautishaje baina ya mapenzi na rushwa? na je nikimpenda binti Nika mtongoza akanikatalia lakini by then mtihani ukaja akakamatwa kweli akinienezea nimemkamata sababu ya kuninyima atakuwa amekosea?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mtawaonea wakufunzi bure uwezo wa dadazetu tunautambua, wengi wakifika vyuoni hawataki kusoma ni kupiga misele tu kuujuwa mji na sehemu za starehe.

Baada ya hapo ni kujirahisha kwa wakufunzi wawape maksi,badae ndo kuleta stori za rushwa za ngono. sikatai wapo wakufunzi wapuuzi sana ila wanafunzi wamekuwa wapuuzi zaidi kwa kujirahisi.

hata hawa machakubimbi ambayo hayasomi yakikamatwa yanajitetea mkufunzi ananitaka ndo maana kanikamata.
 
mtawaonea wakufunzi bure uwezo wa dadazetu tunautambua, wengi wakifika vyuoni hawataki kusoma ni kupiga misele tu kuujuwa mji na sehemu za starehe.

Baada ya hapo ni kujirahisha kwa wakufunzi wawape maksi,badae ndo kuleta stori za rushwa za ngono. sikatai wapo wakufunzi wapuuzi sana ila wanafunzi wamekuwa wapuuzi zaidi kwa kujirahisi.

hata hawa machakubimbi ambayo hayasomi yakikamatwa yanajitetea mkufunzi ananitaka ndo maana kanikamata.
Mkuu Uzuri Wenyewe
Majungu Hayatakuwa Na Nafasi Isipokuwa Wachunguzi Watajua Wenyewe Namna Kazi Zao Huwa
 
Mkuu Uzuri Wenyewe
Majungu Hayatakuwa Na Nafasi Isipokuwa Wachunguzi Watajua Wenyewe Namna Kazi Zao Huwa
mkuu uchunguzi Tanzania, hapo watafanyia kazi majungu tu. wafanye kuangalia mwenendo wa ufaulu wa walalamikaji weng wao utakuta hawana uwezo kivile.

mkuu kuna kesi nimewahi ikuta polisi binti akidai kubakwa,mtuhumiwa akajieleza kwa kuonesha mawasiliano yao kisa ni jamaa kumpa elfu 20 badala ya 30 ya makubaliano yao
 
Mfumo huu upo Sana kwenye system ya medical school. Watoto wakike wanajikuta hawana option Ila kutoa rushwa za aina hiyo.

Madaktari wanao fundisha wanamamlaka makubwa Sana juu ya hatima ya ufaulu wa wanafunzi wao.

Daktari anaekufundisha ndio anakutungia mtihani, mtihani ipo ya aina si chini ya tano, Insha ndefu, Insha fupi, ya kutambua vitu, ya kujieleza Kwa Mwalimu wako na ya kumpima mgonjwa Kwa vitendo mbele ya Mwalimu.

Hivo basi ukiangalia mitihani ya ainahii inapima ufahamu na haina ushahidi ukiachilia ile miwili ya mwanzo na Mwalimu akiamua kukufelisha ni rahisi Sana na huna cha kumfanya.

Ikumbukwe kua si tuu walimu huomba rushwa ya ngono Bali hata mabinti wasiojiweza huwahonga ngono walimu ili wafaulishwe na matokeo yake ni kupata madaktari wa hovyo.

Kwa sababu hiyo sidhani Kama PCCB watatatua tatizo hili la kimfumo .

Nadhani wizara ya afya na TCU wabuni mfumo rafiki Kwa madaktari wanafunzi wa kike.

Ningeshauri madaktari wanafunzi wakike watahiniwe na walimu wa kike tena kutoka chuo tofauti na kile wanachosomea. Hili litamaliza tatizo hasa madaktari hawa wakiwa na uhakika kua walimu wao wa kiume hawana mamlaka juu Yao Kwa kutahiniwa

Nasikitika kusema kua hili limechelewa kuja na kwavile limefikishwa hapa naomba tutambue kua watoto wetu wanaliwa hasa, na haishii hapo na wengine wanaambukizwa magonjwa, wengine wanaathiriw kisaikolojia Kwa kuhonga bikra zao na mengine mengi..... Hivo basi tuwaunge mkono watoto wetu
.
Kiujumla lectures upande Wa medical wapunguziwe mamlaka wamezidi jiona mungu mtu hasa linapokuja swala la clinical exams nakubali kabisa TCU pamoja na wizara husika lipo jambo la kufanya katika hili
 
Back
Top Bottom