4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 5,979
- 6,782
Midimay,
Kiongozi ni kweli wenda mbeya kuna wanawake wengi ambao pia unadai sio wagum ila ijulikane kua ipo tabia binadam akisha jijengea hawezi acha thats unakuta mtu mzima na akili yake anabaka mtoto wamiaka mitano na hapo ndo unajiuliza zaidi kwamba ni raha gani huyu mtu anapata na je ni kweli katika maeneo haishiyo kweli hakuna wanawake watu wazima wenzake.
Nafikili kwa sasa kwa hali ilivyo ni mda muafaka selikari kuja na mbinu muhafaka ambayo itaweza kulinda hadhi ya vijana wetu wasionewe kwa rushwa za ngono na wakati huo pia madactari wasionewe ila haki itendeke mfano hata ilo la mbeya naamini selikari kwa kutumia vyombo vyake vya uchunguzi wataweza jua mambo mengi maana haiwezekani mtu from no where akaleta malalamiko kama yale bila kutomanisha kwa vyovyote vile anamanisha wala sio kichaa
Kiongozi ni kweli wenda mbeya kuna wanawake wengi ambao pia unadai sio wagum ila ijulikane kua ipo tabia binadam akisha jijengea hawezi acha thats unakuta mtu mzima na akili yake anabaka mtoto wamiaka mitano na hapo ndo unajiuliza zaidi kwamba ni raha gani huyu mtu anapata na je ni kweli katika maeneo haishiyo kweli hakuna wanawake watu wazima wenzake.
Nafikili kwa sasa kwa hali ilivyo ni mda muafaka selikari kuja na mbinu muhafaka ambayo itaweza kulinda hadhi ya vijana wetu wasionewe kwa rushwa za ngono na wakati huo pia madactari wasionewe ila haki itendeke mfano hata ilo la mbeya naamini selikari kwa kutumia vyombo vyake vya uchunguzi wataweza jua mambo mengi maana haiwezekani mtu from no where akaleta malalamiko kama yale bila kutomanisha kwa vyovyote vile anamanisha wala sio kichaa