Wapo wazalendo wengi kuliko unavyodahni, tatizo liko juu kuleTutengeneze wazalendo ndani ya vyombo vya usalama kukomboa nchi na sio vyama au vyeo.
Tutaona mabadiliko makubwa. Walinde kura badala ya kuiba, walinde watu badala ya kuwateka na wapiganie haki