Hii ni orodha fupi ya wenye ujasili wa kumkabili CCM. Kama hauko humo kuwa tayari kujiunga na CCM. Hao ni wenzako hujijui tu:
1. Wanaompinga Israel na udhwalimu wake Gaza.
2. Wanaowaunga mkono wapalestina dhidi ya uvamizi wa Israel.
3. Wanaotambua kuwa vita vya wapalestina ni vya ukombozi.
4. Wanaotambua kuwa vita vya Israel ni vya uvamizi.
5. Wanaotambua vita vya Urusi huko Ukraine ni uvamizi.
6. Wanaotambua vita vya Ukraine dhidi ya Urusi huko Ukraine ni vya ukombozi.
Pia kama uko humo na uko CCM ondoka tu huko, hakukufai.
Suala la haki za watu haliwezi kuwa la kishabiki kama wa Simba na Yanga. Suala la haki za watu haliwezi kuwa la kufanyia mzaha, kupigia kamali au ku bet.
Kuuachia undumila kuwili wenye kutufananisha na popo kuwa karibu nasi, ndilo kosa letu kuu kwenye harakati za ukombozi. Kuwa tunawaendekeza watu wasiojua wanachopigania au hata wanachotaka. Hatari zaidi wanapokuwa kwenye usukani.
"Vipi wasiojua wanachopigania watakuwa na wito kamili kwenye shughuli?"
Wasiofuzu kuwemo kwenye listi ya mapambano wajitathmini na kupisha wenyewe kabla ya kuwafurusha bila kujali nafasi zao.
Shughuli ya kupambana na CCM Inahitaji zaidi mno.ya idadi ya watu. Ni Heri kuwa na watu wachache kuliko kuwa na watu mizigo.
Post #2 imejielekeza wakati nyuzi 2 hizi zinahusika:
Kama tunataka Katiba Mpya, Tusiionee "Haya" Haki ya awaye yote
Undumila kuwili wa wamaagharibi mgogoro Gaza, Putin Dume!
1. Wanaompinga Israel na udhwalimu wake Gaza.
2. Wanaowaunga mkono wapalestina dhidi ya uvamizi wa Israel.
3. Wanaotambua kuwa vita vya wapalestina ni vya ukombozi.
4. Wanaotambua kuwa vita vya Israel ni vya uvamizi.
5. Wanaotambua vita vya Urusi huko Ukraine ni uvamizi.
6. Wanaotambua vita vya Ukraine dhidi ya Urusi huko Ukraine ni vya ukombozi.
Pia kama uko humo na uko CCM ondoka tu huko, hakukufai.
Suala la haki za watu haliwezi kuwa la kishabiki kama wa Simba na Yanga. Suala la haki za watu haliwezi kuwa la kufanyia mzaha, kupigia kamali au ku bet.
Kuuachia undumila kuwili wenye kutufananisha na popo kuwa karibu nasi, ndilo kosa letu kuu kwenye harakati za ukombozi. Kuwa tunawaendekeza watu wasiojua wanachopigania au hata wanachotaka. Hatari zaidi wanapokuwa kwenye usukani.
"Vipi wasiojua wanachopigania watakuwa na wito kamili kwenye shughuli?"
Wasiofuzu kuwemo kwenye listi ya mapambano wajitathmini na kupisha wenyewe kabla ya kuwafurusha bila kujali nafasi zao.
Shughuli ya kupambana na CCM Inahitaji zaidi mno.ya idadi ya watu. Ni Heri kuwa na watu wachache kuliko kuwa na watu mizigo.
Post #2 imejielekeza wakati nyuzi 2 hizi zinahusika:
Kama tunataka Katiba Mpya, Tusiionee "Haya" Haki ya awaye yote
Undumila kuwili wa wamaagharibi mgogoro Gaza, Putin Dume!