Mvumilivu akichoka anakuwa na roho ya kinyama sana na hajali lolote litakalotokea mbele yake. watanzania wakichoka kuvumilia watawala watatamani kukimbia nchi
Kuuliwa tu ndiyo hoja , yaani kama sio kufanya uasi unafikiria wangeuliwa , ona sasa unaenda kufanya vurugu unakufa kwa kufuata mkumbo ....Kule USA watu kila mwaka zaid ya laki tano wanapotea , mbona hawafanyi uasi .
Mvumilivu akichoka anakuwa na roho ya kinyama sana na hajali lolote litakalotokea mbele yake. watanzania wakichoka kuvumilia watawala watatamani kukimbia nchi