Papy ndombe
JF-Expert Member
- Oct 24, 2020
- 3,762
- 4,516
1 na 2 ndo zenye usalama zaidiSiwezi puuza huu uzi watu waoga huwa wanaweka kinga ili wasiumizwe ila kuna mawili
1.KUKOMAA MADARAKANI
2.AU KUKIMBIA NCHI/KUISHI UHAMISHONI ILI WATU WASILIPE KISASI
3.KUMCHAGUA SHOSTI MWENYE MAELEKEZO YA KUMLINDA kama mtoa mada asemavyo humu
Hata ukae kumi aiwahusuSijui kama wanafahamu madhara ya kiuchumi kuweka walipata kodi masaa mawili barabarani. Oops that happens in shit hole countries.
Hili nalo linakuumiza?Viongozi wa awamu hii wanaishi kwa woga sana, kama vile hajashinda uchaguzi. Jana Majaliwa alikua anapita, nusu saa kabla bara bara iliachwa wazi na traffic, magari yote yalipack pembeni. Majaliwa alipita kama mwewe.
Siyo Kheri James?Hata akikimbia nchi
Sindano ya sumu ya Doto James inaweza kumfuata huko huko
Huyu hana shahada ya chuo kikuu kama Katiba inavyotaka.. Labda kwa kuwa awamu hii Katiba "imepumzishwa".2.Paul Makonda, kwa Muda huu anatuzuga kamsahau lakin kwa Mabalaa na Maajabu ya Tanzania ukashangaa 2026 anapigiwa mizinga
Mshamba kama we we ndio unaishangaa hiyo kodi. Kama ungekuwa " well informed " ungelijua kuwa Tanzania tulichelewa sana kuwa na hii kodi.Sijui kama tutafika 2025 salama, maana kwa ninavyo uona mwelekeo kama dereva gari limesha mshinda na limeshaacha njia.
Sio kwa hali hii ya sasa hivi mpaka kufikia hatua "TRA KUANZISHA KODI ZA VITANDA". Wenyewe kwa lugha ya malkia eti wanaita "BED LEVY".
Mshamba kama we we ndio unaishangaa hiyo kodi. Kama ungekuwa " well informed " ungelijua kuwa Tanzania tulichelewa sana kuwa na hii kodi.
Kwa la ushoga Mungu alitupitisha mbali kwa kutomchagua Lissu!Kesho tukipitisha sheria ya kukubali ushoga (Mungu apishe mbali) utasema Tanzania tulichelewa sana kuwa na hii sheria ??!🤣
Kwa la ushoga Mungu alitupitisha mbali kwa kutomchagua Lissu!
Mjihadhali kutumia point zilezile zilizopelekea mkashindwa vibaya sana kwenye chaguzi zilizopita!Kuna Vitetesi fulan japo 2025 ni mbali ila kwa uoga wa Rais Magufuli, endapo akikubali kuachia madaraka basi atauingilia Uchaguzi kuanzia mchakato wa Mgombea ndani ya Chama hadi Uchaguzi Mkuu kwa ujumla kuhakikisha anayebaki ni yule atakayefanya yafuatayo
1. Hataruhusu kujadiliwa kwa aliyofanya rais mstaafu
2. Hataibua hoja au hataruhusu hoja za kuhoji matumizi yasiyofuata taratibu za Manunuzi kama vile ununuzi wa Ndege, na ujenzi wa miradi mbali mbali Ambayo haikufuata utaratibu na hatuoni uwazi
3. Hataruhusu kuhoji haki za watu zilizopotea na haki za watu waliouwawa au kufichwa kabisa
4. Hataruhusu kuhojiwa Kwa wafanya biashara Walidhulumiwa na serikali na wengine kufungwa kwa kisingizio cha Uhujumu uchumi na utakatishaji pesa,
5. Hataruhusu kabisa uwazi wa namna yeyote
KATIKA WATU ANAOWAONA WATAIWEZA KAZI HIYO
1. Bwana Hussein Mwinyi wa Zanzibar, huyu atakuwa ni yule wa Ndiyo mzee wangu mstaafu pumzika usiguswe
2. Paul Makonda, kwa Muda huu anatuzuga kamsahau lakin kwa Mabalaa na Maajabu ya Tanzania ukashangaa 2026 anapigiwa mizinga
3. Kassim Majaliwa, Huyu naye yuko Obedient Sana kwa Magufuli
4. Hamis kigwangalla,
Si lazima jina liwe kwenye hayo ila atapitishwa mwenye sifa za hao
Tukumbushane July 2025
Mungu atuweke na yeye amuweke pia maana ya Mungu Mengi hapa kati kati
Amen
Britannica
Kheri James.Siyo Kheri James?
Hali tete.Sijui kama tutafika 2025 salama, maana kwa ninavyo uona mwelekeo kama dereva gari limesha mshinda na limeshaacha njia.
Sio kwa hali hii ya sasa hivi mpaka kufikia hatua "TRA KUANZISHA KODI ZA VITANDA". Wenyewe kwa lugha ya malkia eti wanaita "BED LEVY".
Viongozi wa awamu hii wanaishi kwa woga sana, kama vile hajashinda uchaguzi. Jana Majaliwa alikua anapita, nusu saa kabla bara bara iliachwa wazi na traffic, magari yote yalipack pembeni. Majaliwa alipita kama mwewe.
Hii code imenipita SE, kuna mtu anatembea na feni au fumbo hili?Umeona lile feni analotembea nalo kwenye gari lakini, lile ni lazima liwe nyuma yeye mbele.
Kuna Vitetesi fulan japo 2025 ni mbali ila kwa uoga wa Rais Magufuli, endapo akikubali kuachia madaraka basi atauingilia Uchaguzi kuanzia mchakato wa Mgombea ndani ya Chama hadi Uchaguzi Mkuu kwa ujumla kuhakikisha anayebaki ni yule atakayefanya yafuatayo
1. Hataruhusu kujadiliwa kwa aliyofanya rais mstaafu
2. Hataibua hoja au hataruhusu hoja za kuhoji matumizi yasiyofuata taratibu za Manunuzi kama vile ununuzi wa Ndege, na ujenzi wa miradi mbali mbali Ambayo haikufuata utaratibu na hatuoni uwazi
3. Hataruhusu kuhoji haki za watu zilizopotea na haki za watu waliouwawa au kufichwa kabisa
4. Hataruhusu kuhojiwa Kwa wafanya biashara Walidhulumiwa na serikali na wengine kufungwa kwa kisingizio cha Uhujumu uchumi na utakatishaji pesa,
5. Hataruhusu kabisa uwazi wa namna yeyote
KATIKA WATU ANAOWAONA WATAIWEZA KAZI HIYO
1. Bwana Hussein Mwinyi wa Zanzibar, huyu atakuwa ni yule wa Ndiyo mzee wangu mstaafu pumzika usiguswe
2. Paul Makonda, kwa Muda huu anatuzuga kamsahau lakin kwa Mabalaa na Maajabu ya Tanzania ukashangaa 2026 anapigiwa mizinga
3. Kassim Majaliwa, Huyu naye yuko Obedient Sana kwa Magufuli
4. Hamis kigwangalla,
Si lazima jina liwe kwenye hayo ila atapitishwa mwenye sifa za hao
Tukumbushane July 2025
Mungu atuweke na yeye amuweke pia maana ya Mungu Mengi hapa kati kati
Amen
Britannica
Alisoma Moshi chuo cha UshirikaHuyu hana shahada ya chuo kikuu kama Katiba inavyotaka.. Labda kwa kuwa awamu hii Katiba "imepumzishwa".
Ila ikimpendeza anaweza kununua PhD mapema