Duh ndoto inapokuwa kweli sijui inakuwaje hapo Erickb52 hivi ndoto huwa unaota ukiwa unafanya kweli au unaota ukiwa vipi Amyner kaa kimya wala usiongee hapa
Last edited by a moderator:
..nilipigwa cha mbavu balaa..yaani kama goli la kisigino mfungaji Gaucho..na harusi ikatangazwa humu..
Hahahaaaaaa neno lako nitalilainisha kwa busu moja lainiiiiii utajikuta huna nguo bila kujua na kazi ishakwisha!Mimi hapa,
tena Mlokole Grade One,
ni FGBF.
Au nikupe Neno?
Heeee na wewe naweeeeeee lol
Ok mpeleke nikuonyeshe mi nani!
Naona Madame B unaanza kunitibua sasa hivi!
mtu chake unaona mzee Bishanga anavyoniletea mkwara wa kuku?..nilipigwa cha mbavu balaa..yaani kama goli la kisigino mfungaji Gaucho..na harusi ikatangazwa humu..
Ayaaaaaaaaaaaa!!
Unamharibia mwenzio...!
Hahahaaaaa Bluce Lee simuogopi labda huyo baba mdogo wako Manyaunyau ndio nahisi ntagwaya lolWe au hujui kama mjomba wangu alikuwa ni Bluce Lee? Nichokoze kama una hamu ya kusalimia wafu kuzimu.
Hunitishi wewe,
baba'ngu mdogo ni Manyaunyau.
Hahahaaaa na hata hivyo kwani siku hizi unamuona?
Hahahaaaaaa neno lako nitalilainisha kwa busu moja lainiiiiii utajikuta huna nguo bila kujua na kazi ishakwisha!
Hahahaaaaa Bluce Lee simuogopi labda huyo baba mdogo wako Manyaunyau ndio nahisi ntagwaya lol
Haya nichokoze sasa kama sijakugeuza Chapati nikakunywea Supu.