Ridomil gold
JF-Expert Member
- Aug 22, 2020
- 2,775
- 2,202
Tale tale hajui anafanya nn humo
Bwenyenye lile kazi kuwaibia watu kilo za kahawa kwao iwala na iwanga mjinga sanaKuna Oran Njeza huyu nahisi kazi yake nikugonga meza
Kigwa wa Kigwa.....Hadi wakina Msukuma na Mpina wanapata nafasi kila siku ya kuchangia kati ya wabunge 360 ni ukweli kwamba wapo wabunge wengi ambao kwao wao ubunge ni posho.
Vikao vya bunge vinaanza hadi vinamalizika hakuna siku amewahi kuchangia chochote. Wengi wao ni wabunge wa viti maalum. Swali la kujiuliza wanatumia mbinu gani kuwasiliana na waliowatuma?
Nichukue fursa hii kuomba tuwafahamu wale ambao sauti zao kuzisikia ni nadra tuweze kuwakumbusha umuhimu wa kuongea na kutusemea kunako Bunge.
Nani mnyakyusaunatoa siri za kambi, mbna hata yule mgeni mwenyeji wa Tabora, kazi yake kufata vitoto vya shule hasa wa kiume, na anapenda kwenda kutafuta shule za special school.
Huyu ni TP wa Mazembe na shule zake za kukaririshaWa Bukoba Vijijini Rwegasila
Hao wenye uwezo mkubwa, walifanya kitu gani cha muhimu?Bunge limejaa wabunge wengi wenye uwezo mdogo
Ova
Anangojea uteuziKigwa wa Kigwa.....
Japo ni mbunge wangu ila hapana aisee.Anangojea uteuzi
Uchaguzi wa 2020 Kilimanajaro ilipata hasara sana ukiondoa Dk Kimei nadhani hakuna mbunge mwingine wa maana.Mbunge wa Moshi Vijijini Prof. Ndakidemi
Tena ni Prof ila sijawahi kumsikia kabisa.. Itakuwa wananchi wake hawana shida za kuziwasilisha... hahahaha
Ni David Mathayo au Vedastus Mathayo ?David Mathayo wa Musoma mjini. Huyu yuko Musoma tangu mwaka 2020 baada ya kuapishwa hakuwahi kurudi Dodoma