Tutaishije ikiwa Benki ya Dunia itasitisha misaada?

Tutaishije ikiwa Benki ya Dunia itasitisha misaada?

  • Thread starter Thread starter guest-1788672427
  • Start date Start date
IMG-20260528-WA0357.jpg
 
Ikitokea Bank ya Dunia ikasitisha kutoa misaada sijui mikopo nchini

Sisi tunaofanya kazi za miradi ya W/B tutaenda wapi ? nahis kuchanganyikiwa

Bora nitafute mume niolewe
Ukihitaji Mzee wa kufaidi naye maisha, nipo nimejaa tele. Usisubiri mpaka mkataba usitishwe. Njoo Lushoto ule maisha.
 
Back
Top Bottom