kama kichwa cha mada yangu kinavyoeleza.....
Kama hoja ya kupinga wizi huu wa ACACIA kwenye makinikia/madini (mikataba) leo ingeletwa LEO na lisu/upinzani
==Tungeacha uchama na kuwaunga mkono?
==Je tungekuwa tayali kushika bango hii mikataba iwekwe wazi?
Ni mbunge gani? Na waziri gani angewahunga mkono?
===Je Mh. Rais angewasikiliza kwa bango lao walilolishika????
===hivi UVCCM taifa wangeita media kuunga UZALENDO wa hawa wenzetu??
++++Naomba nimalize kwa kusema
HILI SWALA LA MCHANGA LIMENIFUNGUA MACHO NA KUNIPA UZALENDO WA KWELI KUKIPENFA CHAMA SIO KUSHABIKIA KILA KITU (Ndiyoooooo) yaani nyeusi kuita nyeupe kisa mwenyekiti wangu kasema
Kama hoja ya kupinga wizi huu wa ACACIA kwenye makinikia/madini (mikataba) leo ingeletwa LEO na lisu/upinzani
==Tungeacha uchama na kuwaunga mkono?
==Je tungekuwa tayali kushika bango hii mikataba iwekwe wazi?
Ni mbunge gani? Na waziri gani angewahunga mkono?
===Je Mh. Rais angewasikiliza kwa bango lao walilolishika????
===hivi UVCCM taifa wangeita media kuunga UZALENDO wa hawa wenzetu??
++++Naomba nimalize kwa kusema
HILI SWALA LA MCHANGA LIMENIFUNGUA MACHO NA KUNIPA UZALENDO WA KWELI KUKIPENFA CHAMA SIO KUSHABIKIA KILA KITU (Ndiyoooooo) yaani nyeusi kuita nyeupe kisa mwenyekiti wangu kasema