tutafika lini huku...

stevoh

JF-Expert Member
Dec 5, 2011
2,921
1,104
...anaposema "DAR ES SALAAM FOLENI HAITOKUEPO
TENA..." me napata picha hili ndio "ze mwendo-kasi
slipingi kochi" unaionaje kauli hii ya mheshimiwa?
itatekelezeka au ni siasa?

206318_362621193820179_1273945127_s.jpg
 
Kwa barabara zetu hata kama tungepata mabasi ya ghorofa moja tungeyapitisha wapi? Ingekuwa ajali kila wakati.:nono:
 
Litapita wapi?? Miti na nguzo za umeme zilizojaa barabarani ingekuwa balaa.
 
hapo center of gravity sijui utaibalance vipi...!
Maana likipulizwa na upepo tu lazima lipige nyama chini.....!!!
 
Back
Top Bottom