Tugutuke
JF-Expert Member
- Apr 21, 2011
- 501
- 165
Pole Na Majukumu Ya Kila Siku Mtanzania Mwenzangu, Vipi Umeshapata MAISHA BORA Kama Walivyokuahidi CCM 2005 Na 2010? Anayekuuliza Si Mwanasiasa, No! Ni Mwanaharakati.. Hebu Jiulize Hawa Wanaotoa Ahadi Wanakuonaje Wewe?
1, Ni -----
2, Ni Mjinga
3, Mpumbavu
4, Mwehu
5,Mwendawazimu
6, Una Ubongo Wa kuku? (Msahaulifu). Au ni vipi?
Mbona Wenyewe Wana Maisha Bora! Kwani Wewe Au Wenzetu Sio Watanzania? Kazi Kwako Mwaka 2015 Nikutakie Tafakari Njema! Share kwa Watanzania wote wapenda mabadiliko.
1, Ni -----
2, Ni Mjinga
3, Mpumbavu
4, Mwehu
5,Mwendawazimu
6, Una Ubongo Wa kuku? (Msahaulifu). Au ni vipi?
Mbona Wenyewe Wana Maisha Bora! Kwani Wewe Au Wenzetu Sio Watanzania? Kazi Kwako Mwaka 2015 Nikutakie Tafakari Njema! Share kwa Watanzania wote wapenda mabadiliko.