Tutaanzia wapi pindi tukitaka kupigana na US.

Jindal Singh

JF-Expert Member
Sep 9, 2015
1,853
1,521
Najaribu kufanya tathmini, manake dunia aichelewi kugeuka wajuu anaweza kuwa chini na wachini aweza kuwa juu na hii kutokana na teknolojia, uchumi na hari za kisiasa kugeuka. Sasa swali: Tutanzia wapi kupigana na mbabe US pindi Tanzania itakapokuwa The Great Empire na kutawala dunia ili i grab malighafi kwa ajili ya raia wake. Huu
ni uoni wa mbali sana japo watu wanadhani ni kitu cha kufikirika kwa
Watu wa kufikiri mambo nadhani wanaelewa. Hapa issue ni kuzipiga dola za ulaya na Amerika hii ndio ndoto aliyokuwa nayo Gaddafi.
 
Inawezekana kuligaragaza taifa kubwa na lenye nguvu kama alivyofanya kijana mdogo Daudi akitumia silaha hafifu kudondosha jitu kubwa Goliath lenye nguvu kubwa za kijeshi na uzoefu kivita.
 
Bara la africa litaweza tu kutawala mabala mengine iwapo itatokea vita ya 3 ya dunia.
Wazungu watamalizana kwa nyuklia,wataobaki watakua hoehoe kwa mamia ya miaka ijayo,hapo ndo waafrika watapatiamo gap la kunyanyuka kiuchumi kuwazidi hawa jamaa
 
Tutaanza kwanza na space war,kati yetu na US
[Kama ilivyokuwa kati yao US,na Russia miaka ya 1960]


Wakati huo 50% ya wanajeshi wa AU ni watanzania

Vita itakuwa kali kwelikweli.:D

Ili kuuthibitishia ulimwengu kuwa tumewapiku Wamarekani kwa space technology

Tutafake Sun landing na kutundika bendera yetu kwenye Jua,

Kama wao walivyotudanganya kuwa wamefika mwezini kumbe...

Baada ya hapo dunia nzima itatuogopa

Kisha....sidhani kama tunaweza kupigana hata na India.:D:D
 
Inawezekana kuligaragaza taifa kubwa na lenye nguvu kama alivyofanya kijana mdogo Daudi akitumia silaha hafifu kudondosha jitu kubwa Goliath lenye nguvu kubwa za kijeshi na uzoefu kivita.
 
Inawezekana kuligaragaza taifa kubwa na lenye nguvu kama alivyofanya kijana mdogo Daudi akitumia silaha hafifu kudondosha jitu kubwa Goliath lenye nguvu kubwa za kijeshi na uzoefu kivita.
 
sijui kama itawezekana maana mwisho wa dunia utakuwa umeshafika..
 
Tutaanza kwanza na space war,kati yetu na US
[Kama ilivyokuwa kati yao US,na Russia miaka ya 1960]


Wakati huo 50% ya wanajeshi wa AU ni watanzania

Vita itakuwa kali kwelikweli.:D

Ili kuuthibitishia ulimwengu kuwa tumewapiku Wamarekani kwa space technology

Tutafake Sun landing na kutundika bendera yetu kwenye Jua,

Kama wao walivyotudanganya kuwa wamefika mwezini kumbe...

Baada ya hapo dunia nzima itatuogopa

Kisha....sidhani kama tunaweza kupigana hata na India.:D:D
50% ya wanajeshi wa AU ni wa Tanzania, acha saundi wewe?
 
Kwanza itabidi tutafute allies wa kutosha, umoja ni nguvu.
Itabidi wananchi wakae mbali na majengo ili wakiwa wanatungua majumba na madege watu wasife sana. Kutokana na umoja wetu sidhani kama kuna snitch mkoani atakaeruhusu US soldiers waingie nchini, lazima watatokea kwa majirani/ jirani. Wakitia maguu sasa ili zipigwe uso kwa uso, maana bila hili huwezi teka mahali, hapo ndipo tutawanyorosha. Wakitokea kenya tutawanyorosha hadi nairobi, wakitokea ug tutapiga kambi kampala, rwanda etc. Alafu we'll recruit more loyal soldiers willing to die whilst tryin eliminating america, wapo kibao from china, russia, iran north korea, syria, yemen, somalia, sadc, west, central, north, east africa tutapanga mradi kabambe wa kulimaliza kabisa kabisa bedui marekani.
Hapo ndipo tutawasumbua kidogo kwa anga tukiingiza wanajeshi kupitia russia, cuba, mexico. Those are US neighbours that do not like each other so much. Foot soldiers wa kutosha from all those countries plus kuna masnitch kibao marekani kwenyewe hawapendi gova yao. Tutawashinda and we'll deliver America from bankers and the world will know peace. UK EU hawatoingiza pua baba yao akikalishwa.
 
Yote yangewezekana kama MEMBE angepewa ridhaa ya kutumikia Watanzania kwa miaka mitano na mitano mingine kwa muhula wa pili
 
Tutaanza kwanza na space war,kati yetu na US
[Kama ilivyokuwa kati yao US,na Russia miaka ya 1960]


Wakati huo 50% ya wanajeshi wa AU ni watanzania

Vita itakuwa kali kwelikweli.:D

Ili kuuthibitishia ulimwengu kuwa tumewapiku Wamarekani kwa space technology

Tutafake Sun landing na kutundika bendera yetu kwenye Jua,

Kama wao walivyotudanganya kuwa wamefika mwezini kumbe...

Baada ya hapo dunia nzima itatuogopa

Kisha....sidhani kama tunaweza kupigana hata na India.:D:D
Sun landing du! Ha ha.
 
Back
Top Bottom