Azadirachta
Senior Member
- Oct 9, 2010
- 171
- 11
the teh teh teh teh wa kwenye laptop!
Hivi we genius brain hivi kweli dola ikifanya upuuzi haistahili kuguswa? Hata kama ina nguvu na inavunja sheria inamaanisha isiguswe, isikosolewe na watu wasiidai haki kwa kuwa ni dola tu?Kweli Slaa umeshikwa pabaya, na haya unayotaka kuanzisha hatuafikiani nayo, dola ikiwafanya vibaya sie hatumo, kwani huko ni kuichokoza dola kwa makusudi kabisa.
Who will be the first to sacrifice?
mnaandama ili iweje..
Dr. PHD! hapo natania.. watakuwa matumbi wawili watatu wasiotambua a wala beeWho will be the first to sacrifice?
Kumbe ndo wanakoandamania!!:teeth:the teh teh teh teh wa kwenye laptop!
Mkuu Mungi mambo vipiWho will be the first to sacrifice?
Haki ya nani akikanyaga hapa nakutwanga offer ya nguvuWewe Dr.Slaa njoo huku utuambie ilikuwaje hapa, wewe sio mnafiki?
Dr. Slaa amekuwa mtetezi wa ccm.Wewe Dr.Slaa njoo huku utuambie ilikuwaje hapa, wewe sio mnafiki?