kipindupindu
JF-Expert Member
- Dec 16, 2010
- 1,053
- 170
kama ni kweli watanzania tunachukia ushoga ambao unaonekana kumiliki madaraka huko UK basi hatuna budi kususia kushabikia ligi ya uingereza ambayo ina mashabiki wengi hapa nchini.hii ni vita dhidi ya udhalilishaji wa mtanzania.kauli za kupinga ushoga ziendane na matendo yenye msisitizo.mods please tusitishe mara moja threads za team au ligi za UK kuanzia sasa.