Kweli kila kitu usanii. SHINDANO limeisha hivi punde, HOPE kutoka Burundi ndio mshindi, lakini walisema kuwa kura ndio zitaamua mshindi, toka shindano limeanza mpaka leo HISIA from TANZANIA liongoza kwa kura, tena alikuwa anawaacha wenzake mbali sana.
Cha ajabu leo ndio amekuwa wa mwisho, yuel dada wa Uganda kawa wa 3, wakati kwenye kura anakuwa nyuma ya HISIA kila siku, aliyeshinda anakuwa wa mwisho kwa kura kati ya waliokuwa wamebaki.
Je, kuna haja ya kuwaambia mashabiki wapige kura?
Au huko napo ni ubabaishaji kama BSS, japo kwa maandalizi na stage na kila kitu hawa jamaa ni kiboko!
Cha ajabu leo ndio amekuwa wa mwisho, yuel dada wa Uganda kawa wa 3, wakati kwenye kura anakuwa nyuma ya HISIA kila siku, aliyeshinda anakuwa wa mwisho kwa kura kati ya waliokuwa wamebaki.
Je, kuna haja ya kuwaambia mashabiki wapige kura?
Au huko napo ni ubabaishaji kama BSS, japo kwa maandalizi na stage na kila kitu hawa jamaa ni kiboko!