Afadhari kuokota Garasa kuliko kutoka uwanjani kichwa chini....Mtoto akililia wembe mpe!
Nia ilikua kuifunga yebo2....kwa hiyo baada ya yebo2 kutolewa Simba wakaona taska haina ladha tena.
Mshaanza visingizio sijui kura za kihuni... fungu la kukosa la kukosa tu..
Masatu ni Simba timu yake imetolewa