Halafu unakuta mtu anakuambia mambo yangu hayaendi
Bora uwafunue upeo baadhi ya watu
Ni vizuri kukumbushana ila kujisahau kwa mzazi ni laana fulani hivi
Ni hadithi fupi Sana, lakini imenipea maana kubwa sana kuhusu kuwakumbuka wazazi
Hawakusema kwamba walidhania sim zao ni mbovu... tehteehhhKabisa mkuu.
Kwa mara ya kwanza tu nilivyoisoma nikajikuta nashika simu na kuwapigia wazee japokuwa siku hiyohiyo nilikuwa nao lakini nikasema hapana aisee acha niwapigie.
Wazee ndio kila kitu mkuu.
Hilo nalo neno... kuna wababa wengine kwa kweli jinsi walivyowalea watoto wao yaan walijisahau kama kuna siku watazeeka na kuhitaji msaada wa hao wanaowadharau.hawakupigi kwa sababu alikuwa ana wa treat kibabe kipindi cha u baba wake