The Icebreaker
Platinum Member
- Apr 24, 2014
- 34,472
- 104,112
Angalau huyo babu watoto wake japo walimnunulia simu,kuna wazee wengine hawana hata simu! Kumpigia ikitokea dharura watampigia tu kuliko kutokua na simu kabisaa!
Huko kuwatreat kwake kibabe pengine ndiko kuliko pelekea hao wanae kufanikiwa kimaisha,pengine hakupenda waje kua rege rege! Mwisho wa siku mzazi ni mzazi tu hakuna kitakachombadilisha kwako.hawakupigi kwa sababu alikuwa ana wa treat kibabe kipindi cha u baba wake
Halafu mtu kama huyo akisikia baba yake amekufa unakuta analia msibanu hadi anazimia. na msiba ukiisha anaenda kuchora chata kifuani anaandika i love you dad.
Tayari uchochezi,,,,,Mbona babu ana upara kama mzee wa chattel