Candela
JF-Expert Member
- Aug 12, 2021
- 857
- 2,289
Katika vitu tulifeli kama nchi ni suala la upatikanaji wa polisi.
Walio wengi wanapatikana baada ya kufeli shule, yes asilimia 90 ya askari walio huku chini wanaosota barabarani ni waliofeli shule
Sasa tuje hapa kwenye shule. Mara nyingi shule kunakuwaga na wale jamaa hawapendi shule, wahuni wa darasa, wezi wa mali za wanafunzi wenzao. Hawa ndio wengi huishia kuwa askari polisi. Mara nyingi hawana uwezi mkubwa kiakiri so hata akiacha uaskari akili yake haiwezi kufanya kitu kingine.
Ndio maana ni Nadra sana kukuta askari anajiongeza biashara au kitu cha ziada akiwa askari. Hata akistaafu wengi huwa hawana uwekezaji kwa sababu akili zao ni ndogo mno.
Sasa kinachoendelea sasa ni hao vilaza wamepewa nafasi kusimamia sheria za nchi, nafasi ambayo ilitakiwa mtu mwenye angalau C tano O level.
Hiyo nafasi kapewa mtu mwenye F na D za kutosha. Kapewa mtu aneamini atawakomesha.
Walio wengi wanapatikana baada ya kufeli shule, yes asilimia 90 ya askari walio huku chini wanaosota barabarani ni waliofeli shule
Sasa tuje hapa kwenye shule. Mara nyingi shule kunakuwaga na wale jamaa hawapendi shule, wahuni wa darasa, wezi wa mali za wanafunzi wenzao. Hawa ndio wengi huishia kuwa askari polisi. Mara nyingi hawana uwezi mkubwa kiakiri so hata akiacha uaskari akili yake haiwezi kufanya kitu kingine.
Ndio maana ni Nadra sana kukuta askari anajiongeza biashara au kitu cha ziada akiwa askari. Hata akistaafu wengi huwa hawana uwekezaji kwa sababu akili zao ni ndogo mno.
Sasa kinachoendelea sasa ni hao vilaza wamepewa nafasi kusimamia sheria za nchi, nafasi ambayo ilitakiwa mtu mwenye angalau C tano O level.
Hiyo nafasi kapewa mtu mwenye F na D za kutosha. Kapewa mtu aneamini atawakomesha.