Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,436
- 21,262
Unajua Wachungaji nao ni binadamu;;kuna watu wanafikiri ukiwa mchungaji uko kama MUNGU NO ..ni vyema tukawaepusha kwenye majaribu napale unapoona anayakaribia sio mbaya mkamtaarifu mapema huko kanisan kwenu....kule mbeya kuna mchungaji alikutwa amemmbaka mwanamke sikumbuki ile kesi kama imeishia wapi wana uyole mwaweza kutumegea ila ukweli halisi waumini mmekuwa kishawishi kikubwa kwa hawa watu wa Mungu
Imefika sasa kuna wachungaji wanaanza kuwaombea waumini huku wamekuwambatia na wengine wananena kwa lugha kabisa raboshangaraba...ni kweli uponyaji waweza pokea lakini wewe mwanamke mke wa mtu utakumbatiwaje kwa maombi wapi wamesema wanaombewa lazima washikwe ...ndugu zangu nawaasa kweli tutachomwa moto sisi wenywe kule arusha kuna wakati kanisa moja mchungaji akiwa anawaombea watu akimwona mwanamke aanaanza kumshika huku anakeemea mara anakumbataia mara roho wa mungua kanionyesha nifunge huu mlango mara anaelekea kuzima taa wwewe mke wa mtu unazima taa kisa umesikia yesu alikuwa na maombi ya usiku weeeweeee acheni jamani..yesu aliomba kwenye mwanga ,,, mnakuja kuletea waume zenu mimba ZA WACHUNGAJI mkome kabisa jamani hii sio tabia nzuri..dunia imebadilka sana zamani makanisa walikuwa wanawake wanavaa kwa heshima leo hii mwanamke anaingia na kimini ukienda kanisa moja karibu na nyu afrika najiuliza hivi wachungaji wanashindwa kuweka wazi ama ndio mambo ya sadaka sisemi hilo tu yapo mengi....nasema na wewe mume uksikia mkeo anaombewa nenda nae acheni kuwafanya wake zenu kama sio mabinti sayuni wajalini.......nimesema hivi nikukumbushe wewe unaevaa mavazi yule mchungaji sio Mungu Binadamu kama wewe anahisia anatamani anajua kupenda kama Mumeo ama boyfriend wako tusiwaaingize watumishi majaribuni jamani
Makanisa mengi yamekuwa yakihbiri maneno mazuri ya Mungu lakini wakifika kuangalia mavazi ya waumini wao kwa kweli ni hatari..ni aibu najua kweli kuna kusaka ndoa..lakini isiwe hivi ..muwe na subira mume mwema hutoka kwa bwana..na nyie watumishi wa Mungu tuache kukumbatia waumini sio lazima uponyaji upatikane kwa kukumbatia ..mwisho wa siku waulizeni kanis moja karibu na kimara bucha miaka ya 2002 yaliowatokea sipendi yawafike...
Mungu awabariki
Imefika sasa kuna wachungaji wanaanza kuwaombea waumini huku wamekuwambatia na wengine wananena kwa lugha kabisa raboshangaraba...ni kweli uponyaji waweza pokea lakini wewe mwanamke mke wa mtu utakumbatiwaje kwa maombi wapi wamesema wanaombewa lazima washikwe ...ndugu zangu nawaasa kweli tutachomwa moto sisi wenywe kule arusha kuna wakati kanisa moja mchungaji akiwa anawaombea watu akimwona mwanamke aanaanza kumshika huku anakeemea mara anakumbataia mara roho wa mungua kanionyesha nifunge huu mlango mara anaelekea kuzima taa wwewe mke wa mtu unazima taa kisa umesikia yesu alikuwa na maombi ya usiku weeeweeee acheni jamani..yesu aliomba kwenye mwanga ,,, mnakuja kuletea waume zenu mimba ZA WACHUNGAJI mkome kabisa jamani hii sio tabia nzuri..dunia imebadilka sana zamani makanisa walikuwa wanawake wanavaa kwa heshima leo hii mwanamke anaingia na kimini ukienda kanisa moja karibu na nyu afrika najiuliza hivi wachungaji wanashindwa kuweka wazi ama ndio mambo ya sadaka sisemi hilo tu yapo mengi....nasema na wewe mume uksikia mkeo anaombewa nenda nae acheni kuwafanya wake zenu kama sio mabinti sayuni wajalini.......nimesema hivi nikukumbushe wewe unaevaa mavazi yule mchungaji sio Mungu Binadamu kama wewe anahisia anatamani anajua kupenda kama Mumeo ama boyfriend wako tusiwaaingize watumishi majaribuni jamani
Makanisa mengi yamekuwa yakihbiri maneno mazuri ya Mungu lakini wakifika kuangalia mavazi ya waumini wao kwa kweli ni hatari..ni aibu najua kweli kuna kusaka ndoa..lakini isiwe hivi ..muwe na subira mume mwema hutoka kwa bwana..na nyie watumishi wa Mungu tuache kukumbatia waumini sio lazima uponyaji upatikane kwa kukumbatia ..mwisho wa siku waulizeni kanis moja karibu na kimara bucha miaka ya 2002 yaliowatokea sipendi yawafike...
Mungu awabariki