Kizamani
JF-Expert Member
- Sep 12, 2011
- 418
- 108
Wana JF,
Ningpenda kujua kama chama changu amabacho ndicho kinachotetea wanyonge nchi hii kimeshatoa tamko rasmi juu ya jambo. Tunaomba watuback up sisi wafanyakazi katika kupinga dhuluma hii tunayofanyiwa na serikali hii dhuluma ya magamba.
Life span ya mtanzania ni miaka 45, wewe unaweka sheria ya kumpa mafao yake baada ya miaka 55. Ukimwi unaenea kama nini, na magonjwa yanatuua kila siku. Kwani serikali imeingia ubia na Mungu kwamba kila mtu ni lazima aishi miaka 55.
Je kama wabunge wamepitisha hiyo mbona hawakusema na wao wasubiri mafao yao wakimaliza bunge?
Naamini muda si mrefu viongozi wetu watatoa tamko kali.
Naomba kuwakilisha.
Ningpenda kujua kama chama changu amabacho ndicho kinachotetea wanyonge nchi hii kimeshatoa tamko rasmi juu ya jambo. Tunaomba watuback up sisi wafanyakazi katika kupinga dhuluma hii tunayofanyiwa na serikali hii dhuluma ya magamba.
Life span ya mtanzania ni miaka 45, wewe unaweka sheria ya kumpa mafao yake baada ya miaka 55. Ukimwi unaenea kama nini, na magonjwa yanatuua kila siku. Kwani serikali imeingia ubia na Mungu kwamba kila mtu ni lazima aishi miaka 55.
Je kama wabunge wamepitisha hiyo mbona hawakusema na wao wasubiri mafao yao wakimaliza bunge?
Naamini muda si mrefu viongozi wetu watatoa tamko kali.
Naomba kuwakilisha.