Tusisahau vita vya Sudan, waarabu bado wanachinjana na kuwindana mji mkuu

Mnapaswa muache watu wajiamulie mambo ya imani, nani wa kumuabudu, wahubirieni sio kuwachinja, mnaingia kwenye basi na kutea na kuua abiria kisa hawamuabudu huyo muarabu wenu

al-Shabab armed group have hijacked a bus in Kenya and killed 28 non-Muslims on board after singling them out from the rest of the passengers.

Nimekuuliza swali hawa walikuwa waarabu ?


Basi sasa enda ukawapige Amaleki, na kuviharibu kabisa vitu vyote walivyo navyo, wala msiwaachilie; bali waueni, mwanamume na mwanamke, mtoto naye anyonyaye, ng'ombe na kondoo, ngamia na punda.

1 Samueli 15:3
Jibu swali acha mboyoyo kijana , ruhusa kama hizi alitoa Mungu wa biblia vip alikuwa kalewa mbege?
 
Nimekuuliza swali hawa walikuwa waarabu ?


Basi sasa enda ukawapige Amaleki, na kuviharibu kabisa vitu vyote walivyo navyo, wala msiwaachilie; bali waueni, mwanamume na mwanamke, mtoto naye anyonyaye, ng'ombe na kondoo, ngamia na punda.

1 Samueli 15:3
Jibu swali acha mboyoyo kijana , ruhusa kama hizi alitoa Mungu wa biblia vip alikuwa kalewa mbege?

Dunia ya leo, kulazimishia watu dini ni ujinga uliokubuhu, huyo 'mungu' wenu huna namna ya kidhihirishia ulimwengu uwepo wake, sasa mbona uchinje watu...
al-Shabab armed group have hijacked a bus in Kenya and killed 28 non-Muslims on board after singling them out from the rest of the passengers.
 
Sijawahi kuona hata siku moja ukiandika kuhusu DRC kama watu hawafi na hakuna kinachotokea vile ..
Sio mpaka alete yeye. Hata wewe lete tu ila sasa analeta habari namna wavaa kobazi wafuasi wa dini ya mnyazi mungu wanavyokula kichapo pale gaza.😃😆😄😃😆😄
 
Nimekuuliza swali hawa walikuwa waarabu ?


Basi sasa enda ukawapige Amaleki, na kuviharibu kabisa vitu vyote walivyo navyo, wala msiwaachilie; bali waueni, mwanamume na mwanamke, mtoto naye anyonyaye, ng'ombe na kondoo, ngamia na punda.

1 Samueli 15:3
Jibu swali acha mboyoyo kijana , ruhusa kama hizi alitoa Mungu wa biblia vip alikuwa kalewa mbege?
Mbona unajichanganya bro, hapo imeandikwa wawaue waamaleki kwa kuwa wamekataa kuwa na Imani ya Kiyahudi au kuniabudu mimi au zilikuwa vita kwa ajili ya expansion za utawala? Hapo ni sawa wakati wa kuepand kwa Ottoman Empire na other Islamic Empire mkuu.

Nilichojifunza umekurupuka na kutaka kuhamisha hoja. Hoja ni kuua watu wanaokataa kushikamana nanyi katika imani. Kulazimisha na kutaka watu wote duniani wawe Waislamu. Mmelazimisha na kuaminisha wapuuzi kuwa Tangu Adam hadi Yesu walikuwa waislam wakati Quran na Hadithi inasema kuhusu nani muislam wa kwanza na pia inasema kuhusu nguzo za Uislam. Sawa, sasa Yaani usipokuwa muislam ni lazima uuawe. Sasa kuna maana gani ya kuwa muislama kwa kulazimishwa na kutishiwa kuuawa? Kwanino allah asijifunue na kuwavuta watu wake kwake kama sisi tunavyohuniri na watu kuamini na sio kuwaua? Hiyo ndio hoja hizo zingine ni blah blah zako tu.
 
Dunia ya leo, kulazimishia watu dini ni ujinga uliokubuhu, huyo 'mungu' wenu huna namna ya kidhihirishia ulimwengu uwepo wake, sasa mbona uchinje watu...
al-Shabab armed group have hijacked a bus in Kenya and killed 28 non-Muslims on board after singling them out from the rest of the passengers.
Wewe ruka ruka tu kama maharage , nimekuuliza swali huyu Mungu alietoa maelekezo haya alikuwa kalewa mbege?


Basi sasa enda ukawapige Amaleki, na kuviharibu kabisa vitu vyote walivyo navyo, wala msiwaachilie; bali waueni, mwanamume na mwanamke, mtoto naye anyonyaye, ng'ombe na kondoo, ngamia na punda.

1 Samueli 15:3
Lazima useme tu
 
Mbona unajichanganya bro, hapo imeandikwa wawaue waamaleki kwa kuwa wamekataa kuwa na Imani ya Kiyahudi au kuniabudu mimi au zilikuwa vita kwa ajili ya expansion za utawala? Hapo ni sawa wakati wa kuepand kwa Ottoman Empire na other Islamic Empire mkuu.

Nilichojifunza umekurupuka na kutaka kuhamisha hoja. Hoja ni kuua watu wanaokataa kushikamana nanyi katika imani. Kulazimisha na kutaka watu wote duniani wawe Waislamu. Mmelazimisha na kuaminisha wapuuzi kuwa Tangu Adam hadi Yesu walikuwa waislam wakati Quran na Hadithi inasema kuhusu nani muislam wa kwanza na pia inasema kuhusu nguzo za Uislam. Sawa, sasa Yaani usipokuwa muislam ni lazima uuawe. Sasa kuna maana gani ya kuwa muislama kwa kulazimishwa na kutishiwa kuuawa? Kwanino allah asijifunue na kuwavuta watu wake kwake kama sisi tunavyohuniri na watu kuamini na sio kuwaua? Hiyo ndio hoja hizo zingine ni blah blah zako tu.
Wayahudi wana expand kutoka wapi wakati hii nchi ilikuwa sio yao? au hujui kuwa wayahudi walipora nchi ya watu kwa madai kuwa wamepewa na huyo huyo Mungu wao? ukija uwe umejipanga ungekuwa wewe ungekubali mtu anatoka mbali halafu anakuja kukuambia nchi ile wamepewa wao na Mungu wao kwahiyo waachiwe huko serious kweli kijana? Ndio maana kwa wizi ule wa maeneo Mungu wao aliwaambia waue kila kitu cha wenye nchi ili kulinda wizi wao


Lakini katika miji ya mataifa haya akupayo Bwana, Mungu wako, kuwa urithi, usihifadhi kuwa hai kitu cho chote kipumzikacho;

Kumbukumbu La Torati 20:16
Kama haijakutosha naendelea



lakini uwaangamize kabisa, Mhiti, na Mwamori, na Mkanaani, na Mperizi, na Mhivi, na Myebusi, kama alivyokuamuru Bwana, Mungu wako;

Kumbukumbu La Torati 20:17


Sasa bila imani ya huyo Mungu wao wangetoka huko Mesopotamia na kuja kuiba nchi za watu , kama hauna maarifa tulia, kiufupi hii yote ni imani maana ni maagizo ya Mungu wao kuua watu wengine ambao ndio wenyeji wa maeneo husika, kwa lengo la kulinda wizi wao wa maeneo
 
Sio mpaka alete yeye. Hata wewe lete tu ila sasa analeta habari namna wavaa kobazi wafuasi wa dini ya mnyazi mungu wanavyokula kichapo pale gaza.😃😆😄😃😆😄
Gaza Israël anapiga raia tu wana mgambo wapo wanasubiri kuleta maafa kwa wanajeshi wa IDF, ajabu Russia akipiga raia watu wanalia sasa ajabu iko wapi kwa Gaza!!!
 
Wewe ruka ruka tu kama maharage , nimekuuliza swali huyu Mungu alietoa maelekezo haya alikuwa kalewa mbege?


Basi sasa enda ukawapige Amaleki, na kuviharibu kabisa vitu vyote walivyo navyo, wala msiwaachilie; bali waueni, mwanamume na mwanamke, mtoto naye anyonyaye, ng'ombe na kondoo, ngamia na punda.

1 Samueli 15:3
Lazima useme tu

Na sio hii tu, kuna juzi mumechinja watu DRC, subiri nitafute link
al-Shabab armed group have hijacked a bus in Kenya and killed 28 non-Muslims on board after singling them out from the rest of the passengers.
 
Na sio hii tu, kuna juzi mumechinja watu DRC, subiri nitafute link
al-Shabab armed group have hijacked a bus in Kenya and killed 28 non-Muslims on board after singling them out from the rest of the passengers.
Wewe ruka ruka halafu utuambie hawa ni Al shabab wa wapi?


Lakini katika miji ya mataifa haya akupayo Bwana, Mungu wako, kuwa urithi, usihifadhi kuwa hai kitu cho chote kipumzikacho;

Kumbukumbu La Torati 20:16

Kama hii haijatosha kuna hii pia utuambie hawa ni Al shabab wa wapi?


lakini uwaangamize kabisa, Mhiti, na Mwamori, na Mkanaani, na Mperizi, na Mhivi, na Myebusi, kama alivyokuamuru Bwana, Mungu wako;

Kumbukumbu La Torati 20:17
 
Wewe ruka ruka halafu utuambie hawa ni Al shabab wa wapi?


Lakini katika miji ya mataifa haya akupayo Bwana, Mungu wako, kuwa urithi, usihifadhi kuwa hai kitu cho chote kipumzikacho;

Kumbukumbu La Torati 20:16

Kama hii haijatosha kuna hii pia utuambie hawa ni Al shabab wa wapi?


lakini uwaangamize kabisa, Mhiti, na Mwamori, na Mkanaani, na Mperizi, na Mhivi, na Myebusi, kama alivyokuamuru Bwana, Mungu wako;

Kumbukumbu La Torati 20:17

Hamuwezi kutulazimisha kumuabudu huyu mtu na haya mauchafu yake, nyie endeleeni kumuabudu
MTUME MUHAMMAD ALINYONYA ULIMI WA AL HASSAN Hadith Idadi 16,245:

Muhammad aliikamilisha ndoa yao kwa tendo la unyumba wakati 'Aisha alipokuwa na umri wa miaka tisa."Bukhari juzuu ya 5 kitabu cha 58 sura ya 43 na.236, uk.153.
 
Hamuwezi kutulazimisha kumuabudu huyu mtu na haya mauchafu yake, nyie endeleeni kumuabudu
MTUME MUHAMMAD ALINYONYA ULIMI WA AL HASSAN Hadith Idadi 16,245:

Muhammad aliikamilisha ndoa yao kwa tendo la unyumba wakati 'Aisha alipokuwa na umri wa miaka tisa."Bukhari juzuu ya 5 kitabu cha 58 sura ya 43 na.236, uk.153.
Huyu Mungu wa wakristo alikuwa analazimisha nini kwenye nchi za watu wengine? nakwambia mpaka utoe jibu


Lakini katika miji ya mataifa haya akupayo Bwana, Mungu wako, kuwa urithi, usihifadhi kuwa hai kitu cho chote kipumzikacho;

Kumbukumbu La Torati 20:16

Wewe ruka ruka weee mpaka utoe jibu, hiyo ni biblia sio Quran
 
Huyu Mungu wa wakristo alikuwa analazimisha nini kwenye nchi za watu wengine? nakwambia mpaka utoe jibu


Lakini katika miji ya mataifa haya akupayo Bwana, Mungu wako, kuwa urithi, usihifadhi kuwa hai kitu cho chote kipumzikacho;

Kumbukumbu La Torati 20:16

Wewe ruka ruka weee mpaka utoe jibu, hiyo ni biblia sio Quran

Uzuri nimeweka maandiko kabisa ya uchafu uliokua unafanywa na 'mungu' wako, kila muislamu anayesoma hii anakwenda kuhakiki kama kweli, yaani hapa ninawahubiria na kuwaonyesha nuru, huu uzi unapata views na hiyo ndio fuaraha yangu, kila muislamu unayepita hapa kahahakiki hili andiko
MTUME MUHAMMAD ALINYONYA ULIMI WA AL HASSAN Hadith Idadi 16,245:

Muhammad aliikamilisha ndoa yao kwa tendo la unyumba wakati 'Aisha alipokuwa na umri wa miaka tisa."Bukhari juzuu ya 5 kitabu cha 58 sura ya 43 na.236, uk.153.
Bila aibu unamuabudu 'mungu'
 
Uzuri nimeweka maandiko kabisa ya uchafu uliokua unafanywa na 'mungu' wako, kila muislamu anayesoma hii anakwenda kuhakiki kama kweli, yaani hapa ninawahubiria na kuwaonyesha nuru, huu uzi unapata views na hiyo ndio fuaraha yangu, kila muislamu unayepita hapa kahahakiki hili andiko
MTUME MUHAMMAD ALINYONYA ULIMI WA AL HASSAN Hadith Idadi 16,245:

Muhammad aliikamilisha ndoa yao kwa tendo la unyumba wakati 'Aisha alipokuwa na umri wa miaka tisa."Bukhari juzuu ya 5 kitabu cha 58 sura ya 43 na.236, uk.153.
Bila aibu unamuabudu 'mungu'
Kwahiyo aya nilioweka Mimi ni ya usafi? au Mungu wa biblia yeye kutuma watu kuua ni Sawa !!! nakwambia mpaka akili ikukae sawa

lakini uwaangamize kabisa, Mhiti, na Mwamori, na Mkanaani, na Mperizi, na Mhivi, na Myebusi, kama alivyokuamuru Bwana, Mungu wako;

Kumbukumbu La Torati 20:17
Hilo ni andiko na amri ya Mungu wa biblia , labda utuambie watu hawa walikuwa wanatumia mipira kupumua kwahiyo ni tofauti, itakuwa akili yako ina fikiri hao waperizi na wakaanani ni mifugo kama mbuzi sio watu
 
Kwahiyo aya nilioweka Mimi ni ya usafi? au Mungu wa biblia yeye kutuma watu kuua ni Sawa !!! nakwambia mpaka akili ikukae sawa

lakini uwaangamize kabisa, Mhiti, na Mwamori, na Mkanaani, na Mperizi, na Mhivi, na Myebusi, kama alivyokuamuru Bwana, Mungu wako;

Kumbukumbu La Torati 20:17
Hilo ni andiko na amri ya Mungu wa biblia , labda utuambie watu hawa walikuwa wanatumia mipira kupumua kwahiyo ni tofauti, itakuwa akili yako ina fikiri hao waperizi na wakaanani ni mifugo kama mbuzi sio watu

Hapa nahubiri, naona views zinaongezeka, naomba kila muislamu acheck na kuhakiki kama kweli hili andiko lipo kisha ajiulize maswali: MTUME MUHAMMAD ALINYONYA ULIMI WA AL HASSAN Hadith Idadi 16,245:
 
Vita ya Sudan ni waislamu kwa waislamu, hakuna maneno wakiuana wenyewe!
Vita ya Yemen ni waislamu kwa waislamu, hakuna maneno wakiuana wenyewe!
Vita ya Israel na Hamas ni kwa sababu tu sio waislamu kwa wailsamu ndio maana ni full makelele
Tuendelee kunywa mtori nyama zipo chini :D
 
Sijawahi kuona hata siku moja ukiandika kuhusu DRC kama watu hawafi na hakuna kinachotokea vile ..
Ujaelewa mkuu fatilia utagundua kitu. Sudan wanauwana wenyewe kwa wenyewe watu wa dini moja uwezi sikia kelele jukwaani hapa.
 
Hapa nahubiri, naona views zinaongezeka, naomba kila muislamu acheck na kuhakiki kama kweli hili andiko lipo kisha ajiulize maswali: MTUME MUHAMMAD ALINYONYA ULIMI WA AL HASSAN Hadith Idadi 16,245:
Baada ya kupewa maandiko ya mauaji kwenye biblia yenu sasa unaamisha magoli, tumalize kwanza hapa Mungu wa biblia alituma watu kuua , unakubali au unakataa?
 
Vita ya Sudan ni waislamu kwa waislamu, hakuna maneno wakiuana wenyewe!
Vita ya Yemen ni waislamu kwa waislamu, hakuna maneno wakiuana wenyewe!
Vita ya Israel na Hamas ni kwa sababu tu sio waislamu kwa wailsamu ndio maana ni full makelele
Tuendelee kunywa mtori nyama zipo chini :D
Mbona hata kule Ukraine na Urusi kuna makelele mengi mpaka NATO wanasogeza silaha nzito nzito
 
Back
Top Bottom