Tusipopata UKWELI huu Wengi tutaihama CHADEMA

Tusipopata UKWELI huu Wengi tutaihama CHADEMA

ulaaniwe kwako, kwa jirani na njiani kote, huna maana tena kama ni mwanachadema ondoka kwenye chama uck huu, shenji kabisa

Nadhani kwa kauli na majibu yako wewe ndio unayeandaliwa kuwa waziri wa michezo na utamaduni kwa ndoto za CDM ... acha kuropoka...jenga hoja.. kikojozi wee
 
Salam wanaJF,

Katika nagzi za uatwala bora na uwajibikaji ni pamoja na ushirikishwaji, uwazi na kujali haki kwa wote. Sie wafuasi sugu wa CDM tunaomba tupewe ukweli kwa yanayojiri kwenye vyombo vya habari na pia uchaguzi ujao. Tunahitaji kujua haya:

1. Mipango ya chama kuwa na ofisi yake bila kukodisha kwani kinapokea ruzuku toka serikalini na hakuna sababu ya kukodisha majengo kwani uwezo wa kuwa na ofisi mikoani upo
2. Ukomo wa uongozi kwa mujibu wa katiba ya chama
3.Mapato na matumizi ya chama
4.Mafanikio ya wabunge wa cham kwa umma japo tunafahamu fika kuwa CCM ndio inayotekeleza sera zake kwani ndyo chama kinachounda serikali.
5. Je kwa nini Zitto Zuberi Kabwe hapewi nafasi kama Naibu Katibu Mkuu wa Chama.


Nawasilisha.

Nimesoma na nimekuelewa, Ni kweli nyie akina Nape, nchemba, na malimumba mengine mtafanya kama mlivyozamiria endapo hamtojibiwa mlichouliza.
 
fika salama huendako.nadhani hata mkeo atakuwa anakushangaa kuwasemea watu wenye akili zaidi yako.Pole sana.
 
Watu walishazoea maisha ya kitapeli toka kanisani na kwingineko msitegemee haya yataacha kujirudia ndani ya chadema.
mkuu kwa hiyo maisha ya kanisani ni ya kitapeli? Mkuu hapo umeharibu kabisa, heshimu dini za watu.
 
Hadanganywi mtu na mikakati ya ccm, maana walishasema wanataka CDM ife kabla ya 2015:
Tena weww sio mwanachama hata usizingue, wanachama tunajua nini chama kinafanya.
Unaulizia ruzuku ya less than 200m, mbona huulizi chopa za uenezi, m4c n.k vinaendaje?? Ofisi bila watu ni kazi bure, wacha kelele za kutumwa, wewe si mwanachama ni wale wale magamba.
 
tukubali tukatae chadema siku ikifa ccm watatawala milele hivyo nikama kuwa watumwa miaka kwa miaka yote
 
Kwa majibu kama haya kweli tutapoteza watu.
Hoja za kitoto,hivi na akili zetu timamu tunaweza kuhama kwa sababu tu mtu hajajibiwa maswali yake tena akiwa hatahajulikani ni nani! Mleta mada lazima ajue ya kwamba chama hakiwezi kumfurahisha kila mtu bali kitawaridhisha wale waliowengi tu! Kama mtu hakubaliani na waliowengi ndani ya chama basi hawezi kuwa mwanachama maana wanachama maanake ni watu wanaokubaliana mambo mengi ya msingi. Kwa sasa uongozi uliopo madarakani wanafanya vizuri na ndiyo maana wanaungwa mkono na waliowengi hivyo wewe ambaye ukokinyume haitakusaidia maana mawazo yako hayakubaliki na waliowengi. Hivyo basi ni bora ukatafuta chama kingine ambacho mawazo yako yanakubalika!
 
Hoja za kitoto,hivi na akili zetu timamu tunaweza kuhama kwa sababu tu mtu hajajibiwa maswali yake tena akiwa hatahajulikani ni nani! Mleta mada lazima ajue ya kwamba chama hakiwezi kumfurahisha kila mtu bali kitawaridhisha wale waliowengi tu! Kama mtu hakubaliani na waliowengi ndani ya chama basi hawezi kuwa mwanachama maana wanachama maanake ni watu wanaokubaliana mambo mengi ya msingi. Kwa sasa uongozi uliopo madarakani wanafanya vizuri na ndiyo maana wanaungwa mkono na waliowengi hivyo wewe ambaye ukokinyume haitakusaidia maana mawazo yako hayakubaliki na waliowengi. Hivyo basi ni bora ukatafuta chama kingine ambacho mawazo yako yanakubalika!

hata huyo mleta mada ni haki yake kujibiwa kwasabu hakuna swali lisilokuw na jibu!!kama mna majibu mnasita nn kumjibu!!kama siyo mnafunika uozo
 
Wewe ni mpambanaji au mwampamba? Watanzania tumechoka na tuko tayari cdm wakiweka fisi, ilimradi ataitoa ccm madarakani, bc kuku ataenda ikulu. Hao watanania wengi wa kuikimbia cdm ni wewe na sehemu zako za ndani (siri). Kama siyo cdm hata aje hitler nitamuunga mkono ili kuondokana na lusifer ccm.
 
Inameni,binukeni kimgongo mgongo lakini mjue kua CDM haifi,kwani CDM si mimi na wewe
 
chadema haiwezi kufa kwa sababu ya ccm, bali inaweza kufa kwa ulevi wake yenyewe, kwa kufikiri yeyote anayeikosoa ni adui wa chama hicho!
Wanachama waliowengi wa vyama vyote vya siasa naamini wamejiunga na vyama baada ya kuona vimeshika kasi,cha ajabu wanataka mawazo yao yaheshimike bila kufanyiwa upembuzi yakinifu, huku wakisahau kuwa kabla hawajajiunga chama kilishashika kasi.Hii haikubaliki.mimi naungana na wengi wanaotoa maoni kwa kujua kuwa wanatoa mchango wao wa mawazo ili kujenga na si kuleta uchuro huku mtu anaseman anakitakia chama husika mafanikio.
 
Hameni tu kwani kabla ya hapo mlikuwa wapi
 
kwann uwazungumzie wengine?sema wewe uatjitoa,wengi ndio akina nani?halafu unasema chama kina uwezo wa kujenga jengo lake/ofisi na pia kuwa na ofisi kila mkoa; sasa nikuulize maswali yafutayo:-
1. Je unajua chama kinapokea ruzuku kiasi gani kwa mwezi?je katika hiyo ruzuku operating expenses kama mishahara,shughuli za kujenga chama na mengineyo zinatosha,je chenji inabakia kwa kujenga ofisi ya makao makuu na mikani?

2.Unasema unataka upewe majibu ya mambo yanayozungumzwa mitanadoni,magazetini na kwingineko,mambo gani hayo mbona hujayataja au wewe pia ni mdaku?

3.Unasema naibu katibu mkuu apewe nafasi yake kama katibu mkuu,je unajua majukumu ya naibu katibu mkuu?na je yeye naibu katibu amewahi kulalamika kuwa ananyimwa kufanya kazi zake?au wewe ndio wale wasiopenda changamoto za kiuongozi au pia ndio wale wenye kuamini CHADEMA itakufa kwa maneno yenu,chuki zenu,propaganda zenu na umafia wenu?

Kabla hujajibu hayo jipime mwenyewe na ujione kama kweli wewe ni mtu sahihi kuyasema hayo uliyoyasema na je upo kundi lipi,WAJENGAJI AU WABOMOAJI?

VIVA CCM,VIVA CHADEMA,VIVA ALL OPPOSITION PARTS.

Parts au parties? Ama kweli kingereza kigumu dah.ungetumia kiswahili tu.
 
hata huyo mleta mada ni haki yake kujibiwa kwasabu hakuna swali lisilokuw na jibu!!kama mna majibu mnasita nn kumjibu!!kama siyo mnafunika uozo

Hatuingii JF kujibu upuuzi wa Buku 7 za Lumumba, leteni Hoja zenye mshiko tuzijadili na hizi za kuhama nendeni mkaongee na wake/nyumba ndogo zenu makwenu
 
Vijana wamesema watailinda chadema kwa mikono yao wenyewe nenda kampumzike makorokotwa ya aina yako hayajawahi kuwa chadema
 
Salam wanaJF,

Katika nagzi za uatwala bora na uwajibikaji ni pamoja na ushirikishwaji, uwazi na kujali haki kwa wote. Sie wafuasi sugu wa CDM tunaomba tupewe ukweli kwa yanayojiri kwenye vyombo vya habari na pia uchaguzi ujao. Tunahitaji kujua haya:

1. Mipango ya chama kuwa na ofisi yake bila kukodisha kwani kinapokea ruzuku toka serikalini na hakuna sababu ya kukodisha majengo kwani uwezo wa kuwa na ofisi mikoani upo
2. Ukomo wa uongozi kwa mujibu wa katiba ya chama
3.Mapato na matumizi ya chama
4.Mafanikio ya wabunge wa cham kwa umma japo tunafahamu fika kuwa CCM ndio inayotekeleza sera zake kwani ndyo chama kinachounda serikali.
5. Je kwa nini Zitto Zuberi Kabwe hapewi nafasi kama Naibu Katibu Mkuu wa Chama.


Nawasilisha.
Umebaki wewe tu wenzako wote walishatimuka. Nawe timuka ukiache solemba chadema
 
Yaani mtu yoyote wa CDM akiuliza maswali magumu anaonekana sio mwenzao,rejea Mwigamba kilichomkuta,ambaye alikua ni mwenyekiti wa mkoa,eti leo Ben Saanane ni mwaminifu kuliko Mwigamba si kujidanganya tu.vijana wengi kwenye vyama vya siasa wapo kimaslai tu!
Binafsi uchaguzi uliopita nilimpa kura dr Silaa sababu nilikua nahitaji mabadiliko,ila mwaka ujao sijui kama nitashawishika
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom