Mayor Quimby
JF-Expert Member
- Mar 13, 2021
- 6,750
- 14,491
- Thread starter
- #21
Kiongozi, kwakweli hiyo ndio hali tunayoishi nayo na inasikitisha.Umezungumza Wataalamu wapo!,nadhani hapo ndio tatizo lililopo kwa jibu lako hapo!!
Kwa nini nasema hivyo, Watanzania bado hatujui nini kilichobomoa utendaji wetu hata wa wataalaam wetu!!
Ndugu, Mayor, kwa hali ambayo tumefikia sio rahisi kuwapata hao wataalaam watakaotupeleka mbele, kama aina ya watoa maamuzi ndio hawa tulionao leo( Wanasiasa) .
Ambacho kipo vichwani kwa binadamu wa Tanzania ni kuchukua chako mapema na julingishia wenzako,
Binadamu walioajilia serikalini sasa hivi , wanaenda kazini ili kuangalia nini cha kuiba leo, sio kufanya kazi tena, sasa huyo mtaalaam atafanyaje kazi ya kitaalaam na kichwani kuna wazo la kuiba tu.
Mungu afanye wepesi, aturudishe kipindi kile cha Nyerere, ambapo mpaka ufikilie cha kuiba au kufanya ufisadi , basi uwe nje ya mfumo wa serikali.
Mwalimu alikuwa kweli anafundisha, Daktari kweli anatibu, polisi ana utu.
Leo Dk anaenda jazini kuiba , Nurse naye anaiba, Mwal hana cha kuiba, lakini anafikiria kazi yake ya bodaboda,
Polisi analala kukuche haraka akamate mtu apewe rushwa, na walivyo na roho mbaya, usipompa rushwa yupo tayari akubambikie kesi hata ya kuua , wala hajali!!
Mkuu wa nchi anawaambie wasaidizi wake waibe lakini kidogo,
Sasa hapo kuna nini,
Nchi inatakiwa Total reform, Mfanyabiashara ndio awe tajili, wewe mfanyakazi wa serikali kuwa tajili , unaupataje huo utajili
Ndio maana kuna sababu luluki ya kupunguza madaraka ya uteuzi wa raisi kwa kujiamulia tu (nafasi za senior civil servants lazima ziwe recommended).
Na senior civil servants lazima wawe na mamlaka ya kupeleka majina sahihi ambayo raisi hawezi teua nje ya hapo kwa sababu wana succession planning zao.
Sio huu utaratibu wa sasa, raisi anajiteulia tu.
To add kwenye mamlaka ya teuzi kuna shida na hakuna uzalendo or else toka nimeanza kufuatilia siasa za Tanzania.
Nimewahi kumsikiliza mtaalamu wa maswala ya elimu akieleza namna ya serikali kupanga idadi ya wasomi kulingana na uchumi wa muda husika, wa kati kulingana na sera na kuandaa wasomi wa baadae kulingana na global trend.
Nimewahi kumsikiliza mtaalamu wa maswala ya natural resources, Prof Muhongo amfikii hata robo.
Nimewahi msikiliza mkurugenzi wa madini kipindi cha JK jamaa alikuwa hatari.
Nimemsikiliza Dorothy Gwajima na Dr Kimei (Kimei nimesoma maandishi yake before he was nobody).
Hizo ni sector ambazo mimi mwenyewe nimezifanyia research kiasi kwamba nikimsikiliza mtu naelewa huyu ni wa level nyingine.
Ndio maana najua kuna wataalamu Tanzania, kwa sababu wote hao niliowataja ni product ya succession planning ya serikali ndio iliyowapa uwezo. Na wapo wengi ambao sijawasikia.
Something is a miss, kwenye mamlaka ya teuzi and it has to change; kwa sababu wenye uwezo wapo.