Mayor Quimby
JF-Expert Member
- Mar 13, 2021
- 6,750
- 14,491
Bandugu huko Ulaya, hawajafika walipo kwa kubahatisha.
Hizo nchi senior civil servants ni vipanga kweli kweli.
Yaani kufikia uwezo wa kufikiria inabidi usome kweli kweli, hao watu asilimia kubwa ni very very clever.
Africans we need to take knowledge serious.
Hawa jamaa wanazoongoza hizo (senior civil servants) wamesoma, you only have to try reading; halafu ukutane na mtaalamu wa serikali akiongelea hilo jambo ndio ujione bado.
Huwezi kubabaisha mbele ya wazungu, watakuchora tu; hizo nchi aziendeshwi na wababaishaji na hizo jamii hutoboi academically if you don’t match up.
Kwanini naandika hivi, it’s sad kudhani vitu ni rahisi vile duniani; kama watanzania tunavyodhani.
Things don’t work like that huko kwa wenzetu, you can just fake your way in Tanzania and mobilise support.
Sad
Hizo nchi senior civil servants ni vipanga kweli kweli.
Yaani kufikia uwezo wa kufikiria inabidi usome kweli kweli, hao watu asilimia kubwa ni very very clever.
Africans we need to take knowledge serious.
Hawa jamaa wanazoongoza hizo (senior civil servants) wamesoma, you only have to try reading; halafu ukutane na mtaalamu wa serikali akiongelea hilo jambo ndio ujione bado.
Huwezi kubabaisha mbele ya wazungu, watakuchora tu; hizo nchi aziendeshwi na wababaishaji na hizo jamii hutoboi academically if you don’t match up.
Kwanini naandika hivi, it’s sad kudhani vitu ni rahisi vile duniani; kama watanzania tunavyodhani.
Things don’t work like that huko kwa wenzetu, you can just fake your way in Tanzania and mobilise support.
Sad