Civilian Coin
JF-Expert Member
- Dec 2, 2012
- 2,305
- 4,399
Mkuu shemeji yetu Malia Obama anakusalimia sana
Lakini mkuu uwe unatuma matumizi kwa Malia.Aaaah, asante sana kwa taarifa.
hatri hii... fire fire fire....
Lakini mkuu uwe unatuma matumizi kwa Malia.
mmmh hahah leo umejibu kak deoUko sahihi lakini baba yake Mh. Obama ni bilionea.
Hajafikia kuitwa Bilionea ni Milionea tu.Unadhani wenzetu mafisadi kama Maraisi wastaafu wa huku Afrika,Waafrika mafala sana wanaiba hawawajali Raia waoUko sahihi lakini baba yake Mh. Obama ni bilionea.
Hapana mkuu wewe ndiyo mchumba wake unatakiwa kutuma matumiziUko sahihi lakini baba yake Mh. Obama ni bilionea.
UHALISIA NI KWAMBA: Dawa ya ukimwi zipo miongoni mwa watu, shida iliyopo hata serikali karibia zote duniani zimeaminishwa kinyume na ukweli kuhusu ukimwi na hata raia wa dunia kwa asilimia kubwa wanapewa wrong information juu ya ukimwi, kwa kifupi ni kuwa ukijuacho kuhusu ukimwi ni 0.00002% ya ukweli wake.
Hivo basi tunao uwezo wa kufanya tafiti hapa kwetu kwa kuwatumia madaktari na hawa wa tiba asilia ili kuja na dawa ya ukimwi, hawa wazungu si wa kuamini kwa kila jambo , kuna usemi unasema za kuambiwa changanya na za kwako
swali tangia ukimwi uwepo tanzania na elimu kubwa ya ukimwi kutoka nchi za magharibi je tulishawahijaribu kuchanganya na za kwetu?. neno la Mungu linatutaka tuwe kama watu wabeloya baada ya kuchapwa injili ilibidi waingie kwenye maandiko ili kujiridhisha juu ya kile kihubiriwacho
Hajafikia kuitwa Bilionea ni Milionea tu.Unadhani wenzetu mafisadi kama Maraisi wastaafu wa huku Afrika,Waafrika mafala sana wanaiba hawawajali Raia wao
mkuu kisadu mi sijakupigia upatu juu ya dawa hiyo ila naami kabisa tukiinvest mda vizur dawa ya ukimwi iko miongoni mwetu wala hakuna haja ya kumtegemea mzunguAsantee
mkuu kisadu mi sijakupigia upatu juu ya dawa hiyo ila naami kabisa tukiinvest mda vizur dawa ya ukimwi iko miongoni mwetu wala hakuna haja ya kumtegemea mzungu