Chuki zako dhidi ya dini tukufu ya kiislam ifiche kwa mudaNikweli kabisa mkuu, maana yule mtoto wa ki Iran Najrat alikua na shuzi miksa limeibana hijab sio poa....😋
Mzee unafeli huko unapoelekea.Nikweli kabisa mkuu, maana yule mtoto wa ki Iran Najrat alikua na shuzi miksa limeibana hijab sio poa....😋
Sina chuki na dini ya Allah, ndiomaana nilioa Islamic 😋Chuki zako dhidi ya dini tukufu ya kiislam ifiche kwa muda
Kafiri kumuoa muislam haisihi ndoa hiyoSina chuki na dini ya Allah, ndiomaana nilioa Islamic 😋
Kikubwa wamekubaliana wao wa2 na miti wanapigana vzr!Kafiri kumuoa muislam haisihi ndoa hiyo
Iran wamewekeza sana kwenye Elimu ya Sayansi na pia kuboresha sana shule zao za Uma na vyuo.Sijajua umekusudia nini lakini hao jamaa hawakuanza kujiimarisha leo ni swala la kizazi hadi kizazi. Tunatakiwa kurithishana ujasiri na imani kwa kila hatua.
Umenena vema.Iran wamewekeza sana kwenye Elimu ya Sayansi na pia kuboresha sana shule zao za Uma na vyuo.