Tusijifariji CCM inapasuka

mziki ndani ya ccm ni pale walipoamua kujielekeza wazi mbele ya wananchi kwamba,January Makamba ni kiongozi bora kuliko hao niliowataja, hili kwa sisi kina gogo la shamba tunaliona ni baya zaidi walilolifanya ccm kuliko kumkata Lowasa
 

Mkuu halafu wanajitamba kwamba chama chao demokrasia imetamalaki kwa kauli hii ya vuvuzela wao kweli kuna demokrasia?
 
Waendelee tu kupasuka lakini mimi nachotaka Lowassa abakie huko huko CCM.
 

Ngobhe wewe ni mjinga na mbaguzi wa kikabila sijui kwenu Rwanda au Sudan kusini! Acha ubaguzi wakijinga wa kuwabagua wamasai ambao siku zote wamekuwa watu waliyopenda mambo ya kunyooka na siyo unafiki unaoendekezwa wa kiswahili.
 
Me napenda ccm ipasuke ili tubalance nature, saiz nature ya siasa haiko balance imebase kwenye chama kimoja. Ikipasuka tu has mbona tutakuwa kama USA
 

Hivi ni yy peke yake kwny huo ufisadi?.
 

Mkuu, ukishaona chama,shirika au taasisi baba ni kiongozi,mama ni mjumbe na mtoto au watoto ni wajumbe ujue hamna kitu hapo.Watasambaratika tu.Dhambi kubwa inayoigharimu ccm ni uongozi wa bata. Mbaya zaidi kauli ya kibaguzi ya wapambe wa riz1 na jakaya kwamba rais hatatoka kaskazini hakika itawatafuna hadi wataisha wote.
 
"Bandu bandu humaliza gogo". Siasa za kimafia na ubabe hazina nafasi ktk tanzania ya leo. Waache tuu iendeleee kumeguka
 
Wacha ipasuke msamba kabisa maana tumechoka sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…