Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,195
Halafu ni kundi la watu wasiokwenda shule au waliosoma kwa kupitishwa kikada au kucheza ngoma,sasa hivi hakuna ujanja.View attachment 460789
Kundi ambalo hadi Leo bado linaiabudu CCM ni kina mama, na wazee karibia wote, ukimwona kijana yuko na CCM ujue akili zilishachotwa.
Wazee utakuta analalamika lakini mwisho hataki kukubali kuwa matatizo yote haya yanatokana na CCM, nguo na T-shirt wanazo pewa basi wanaona inatosha.
Vijana sasa ni wakati wa kuwaelimisha na kuwahamisha hawa kina mama na wazee kifikra waachane na chama fisadi hiki.
Naamini kama kila kijana akimhamisha mzee mmoja hadi 2020 CCM itabaki tupu.
Kazi imeanza, nyumba kwa nyumba.