Kiherehere
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 1,806
- 621
Baada ya kufanikisha uchaguzi uchwara na kupelekea wabunge wa CHAMA MAKINI (chadema) kuingia kwa idadi kubwa wengi wao wakiwa wabunge wadadisi na shupavu, CCM sasa walivyo na fikra za kishenzi wanataka kuhakikisha speaker SITA harudi kwenye kiti chake.
Tutakubaliana wote kuwa SAMWELI ndo alifanya bunge la tisa kwenda kwa viwango kwa kuruhusu mijadala, CCM wanataka kumuweka SPEAKER ATAKAYE ZUIA MIJADALA ILI FISADI KIKWETE ATAWALE ANAVYOTAKA.
Tuombane kwa kushirikiana SITA ARUDI KWENYE KITI CHAKE kinyume cha hapo, miaka mitano ijayo hutamsikia,Shibuda,Lisu,Kabwe,Mnyika,Mbowe,Mdee na wengineo ikiwa ni kampeni ya kutowapa fursa nzuri ya kujadili hoja tata.
Tafakari iwapo Chenge akashika uspika afu hoja ya rada iingie!!!!!!!!!!!!!!!!!
Tutakubaliana wote kuwa SAMWELI ndo alifanya bunge la tisa kwenda kwa viwango kwa kuruhusu mijadala, CCM wanataka kumuweka SPEAKER ATAKAYE ZUIA MIJADALA ILI FISADI KIKWETE ATAWALE ANAVYOTAKA.
Tuombane kwa kushirikiana SITA ARUDI KWENYE KITI CHAKE kinyume cha hapo, miaka mitano ijayo hutamsikia,Shibuda,Lisu,Kabwe,Mnyika,Mbowe,Mdee na wengineo ikiwa ni kampeni ya kutowapa fursa nzuri ya kujadili hoja tata.
Tafakari iwapo Chenge akashika uspika afu hoja ya rada iingie!!!!!!!!!!!!!!!!!