Kibanga Ampiga Mkoloni
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 18,697
- 8,843
Hata wakimpa RIDH1 aijasaidii,
wajiandae kuvunja serekali as much as it could happen!
wajiandae kuvunja serekali as much as it could happen!
wabunge gani hao ulio na imani nao? Ni hao wa ccm ambao wengi wao ubunge wameupata baada ya uchakachuaji wa kura? Nakubaliana na mtoa hoja, kwamba kuna umuhimu wa kuhamasisha wananchi ili achaguliwe spika mwenye nia njema na muelekeo wa nchi hii na si "kibaraka" wa chama tawala. Wengi tunafahamu jinsi mhe sitta (ccm) alivyoweka hatarini nafasi yake katika chama, kwa uendeshaji wake mzuri wa bunge, na faida yake leo hii wapinzani tunaiona. Sitoshangaa kama vigogo wa ccm wakimuweka "kibaraka" ambaye atakuwa akifuata maelekezo ya chama badala ya matakwa ya wananchi.
Jamani, kuna umuhimu wa kuhamasishana na hili jambo la spika wa bunge lina umuhimu wake, kwani hata katika uchaguzi wa rais kanuni za kufuatwa zilikuwepo, na uchakachuaji ukafanyika, leo hii iweje tuseme hayo matunda ya uchakachuaji, yatafuata kanuni yatakapofika bungeni? Tusipokuwa makini nguvu zetu zitapotea bure.
Waislamu tumeshinda pambano la kwanza dhidi ya waikristu kwa kushinda urais. Sasa tunataka na uspika pia ili hawa jamaa waliojiandaa kuigawa nchi kwa misingi ya dini wakome.
Pengo kasema wakubali matokeo na wao wamevunja maandamano yao. kwahiyo chochote wanachofanya kinatoka kanisani. CCM OYEE.
Kikwete kachaguliwa na waislamu na waikristu wachache wenye akili tu.