Elections 2010 TUSIFURAHIE KIUINGIZA WABUNGE WENGI WA UPINZANI (tafakari)

http://jamiiforums.com/count/Nsu/bg=FFFFFF/txt=FFFFFF/border=FFFFFF/columns=1/maxflags=1/viewers=3/labels=1http://2.s01.jamiiforums.com/count/Nsu/bg=FFFFFF/txt=FFFFFF/border=FFFFFF/columns=1/maxflags=1/viewers=3/labels=1
CCM again? ARGH:doh:

Well said sugargirl
 
Kwa mtazamo wangu naona kuwa mgombea yeyote wa CCM ana nafasi kubwa ya kushinda kwa kuwa hao jamaa wana idadi kubwa ya wabunge pale mjengoni.Lakini mtu makini ninayemuona ambaye anahitaji hata support ya watanzania kwa ujumla wetu kutoka CCM ni Dr Harrison Mwakyembe.Sijasikia yeye kuchukua form za uspika lakini ingekuwa vyema akashauriwa afanye hivyo na apewe support na wote wenye mapenzi mema na nchi yetu.
 
wabunge gani hao ulio na imani nao? Ni hao wa ccm ambao wengi wao ubunge wameupata baada ya uchakachuaji wa kura? Nakubaliana na mtoa hoja, kwamba kuna umuhimu wa kuhamasisha wananchi ili achaguliwe spika mwenye nia njema na muelekeo wa nchi hii na si "kibaraka" wa chama tawala. Wengi tunafahamu jinsi mhe sitta (ccm) alivyoweka hatarini nafasi yake katika chama, kwa uendeshaji wake mzuri wa bunge, na faida yake leo hii wapinzani tunaiona. Sitoshangaa kama vigogo wa ccm wakimuweka "kibaraka" ambaye atakuwa akifuata maelekezo ya chama badala ya matakwa ya wananchi.
Jamani, kuna umuhimu wa kuhamasishana na hili jambo la spika wa bunge lina umuhimu wake, kwani hata katika uchaguzi wa rais kanuni za kufuatwa zilikuwepo, na uchakachuaji ukafanyika, leo hii iweje tuseme hayo matunda ya uchakachuaji, yatafuata kanuni yatakapofika bungeni? Tusipokuwa makini nguvu zetu zitapotea bure.

sitta alipomsimamisha zito kabwe kuhudhuria vikao vya bunge mlimlaumu sana na matusi juu, leo mnamsifia!!!!!! Hivi chadema vipi????
 
tunaomba tueleweke kwa sababu moja. Sitta akisifiwa ni kwa mazuri aliyotenda kwa mustakabali wa nchi yetu. Sasa niwaambie kitu kimoja kuwa MAFISADi wanafaidika kutokana na elimu ndogo tuliyonayo sisi Watanzania kwa mfano hii issue ya SPIKA, wengi hawafahamu mamlaka ya SPIKA ndani ya BUNGE. kwa ungejua tu ni kwanini ANAVAA joho kama la JAJI ungeelewa vizuri. SPIKA ndio mambo yote BUNGENI.
 
Waislamu tumeshinda pambano la kwanza dhidi ya waikristu kwa kushinda urais. Sasa tunataka na uspika pia ili hawa jamaa waliojiandaa kuigawa nchi kwa misingi ya dini wakome.

Pengo kasema wakubali matokeo na wao wamevunja maandamano yao. kwahiyo chochote wanachofanya kinatoka kanisani. CCM OYEE.

Kikwete kachaguliwa na waislamu na waikristu wachache wenye akili tu.
 
Waislamu tumeshinda pambano la kwanza dhidi ya waikristu kwa kushinda urais. Sasa tunataka na uspika pia ili hawa jamaa waliojiandaa kuigawa nchi kwa misingi ya dini wakome.

Pengo kasema wakubali matokeo na wao wamevunja maandamano yao. kwahiyo chochote wanachofanya kinatoka kanisani. CCM OYEE.

Kikwete kachaguliwa na waislamu na waikristu wachache wenye akili tu.

crap... Toka hapa na fikra mgando, tuondolee udini wako. Watu walio chagua ccm ni kwa sababu hizi, aidha wanafaidika hivyo kulinda maslahi hayo kwa njia chafu, au wenye fikra kipofu na mgando kama wewe, once again. Craaap!
 
Usiwe na hofu, hata kama spika atarudi Msekwa ngoma bado itaria tu huwezi kufananisha bunge la miaka ya 2000 na la sasa CHADEMA mahakimu wetu ni wananchi na tena wakileta za kubana watakuwa wametupa kitu cha kuwasemea wa wananchi halafu kama kawa wananchi watatoa adhabu mpaka wenyewe watatia akili.........:smile-big:
 
Back
Top Bottom