Tusifanye mapenzi kwa kukariri

Sasa kwa nini hizi zana zina ekisipaya mapema jamani? Ingekuwa safi sana kama zingekuwa zinaimarika na kuongezeka ubora kadiri umri unavyosonga
 
Mbwembwe nyingi mnatafuta ugonjwa tu..

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Mimi ndiyo daktari wenu najua ugonjwa unaowasumbua...
 
na kweli leo wanaume mmepatikana,. kwa wapendwa style nyingine nasikiaga ni mwiko! only mende kafariki....lol

wapendwa ruksa staili zote kama mafunuo yatakavyo kuongoza tehetehe isipokuwa kufanya kinyume na maumbile sijui mnaita tigo loh!
 


Of coz ni kweli uyasemayo bi saudari, ila Ila kuna sifa moja ya ziada ukiwa nayo mamaaaaa.................unaweza kufa kwa mapenzi ya wanawake!!

Wanawake wengi wanapenda sana hio ziada..........................!!
 
Of coz ni kweli uyasemayo, ila Ila kuna sifa moja ya ziada ukiwa nayo .................unaweza kufa kwa mapenzi ya wanawake!!

Wanawake wengi wanapenda sana hio ziada..........................!!

Mkuu rekebisha kidogo hapo, maana mimi ni dume la mbegu.
Tusishushiana heshima.
 
Sasa kwa nini hizi zana zina ekisipaya mapema jamani? Ingekuwa safi sana kama zingekuwa zinaimarika na kuongezeka ubora kadiri umri unavyosonga


Ni kweli lakini si hoja kwani kuna dawa/zana za kunoa hilo jembe. Kuna za miti shamba na za kizungu, ni chaguo lako tu.
 
aaah hapana mkubwa! hakuna somo nzuri kama somo ambalo utafundishwa na ukapewa na mifano,kwa mfano somo la hesabu bila mifano litaelekwa kweli?
Siyo kila maelezo yana mfano, kuna mengineukiyapa mfano eidha unakufa au unaharibu maadili ya jamii husika. Hivi aliyewahi kukusimulia kuwa ukigongwa na gari unaweza ukafa au binduki inauwa alikupa mfano?
 
Siyo kila maelezo yana mfano, kuna mengineukiyapa mfano eidha unakufa au unaharibu maadili ya jamii husika. Hivi aliyewahi kukusimulia kuwa ukigongwa na gari unaweza ukafa au binduki inauwa alikupa mfano?

ni kweli si kila jambo lafaa kutolea mfano lazima tuheshimu maadili.
 
Siyo kila maelezo yana mfano, kuna mengineukiyapa mfano eidha unakufa au unaharibu maadili ya jamii husika. Hivi aliyewahi kukusimulia kuwa ukigongwa na gari unaweza ukafa au binduki inauwa alikupa mfano?

asa na wewe nawe sikuelewi kabisaa! ivi ajali zinavyotokea kila mara na tunaangalia kwenye tv hautoshi kuwa mfano kwa anayenihadhia?naje anayenihadhia akinipa mfano wa move moja ambayo ilitumika bunduki sio mfano?huwezi kujifunza kitu bila ya mifano upo!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…