Bujibuji Simba Nyamaume
Platinum Member
- Feb 4, 2009
- 78,181
- 166,169
Matusi hayafanywi...labda sema umestaafu kuwajibika kwa sababu uzijuazo wewe mwenyewe. Kuwajibika anawajibika mlokole na padri sembuse wewe? Acha hizo, ile ndiyo raha ya dunia bwana. Kuna sababu Mungu alituumba na kutupa hizo zana za kuchapa kazi (jembe na shamba), mengine yote hayo ni kujinyima raha tu kwa kujiwekea kanuni potofu.
Msaada wangu kwako: Jiepushe na walokole pamoja na nyimbo za dini zisizokusaidia kitu utaona raha ya dunia kwani furaha ujipatie mwenyewe na hakuna mwenye mamlaka ya kukupa furaha wewe isipokuwa wewe mwenyewe.
nitumie na mimi desa bana!
na kweli leo wanaume mmepatikana,. kwa wapendwa style nyingine nasikiaga ni mwiko! only mende kafariki....lol
Umeacha 4 styles!ni pm maana nikiziachia hapa naweza pata ban.MA-STYLE YA KUTUPIA
-Dog style
-mbuzi kagoma
-kifo cha mende
-chuma mchicha
-woman-on-top
Umeacha 4 styles!ni pm maana nikiziachia hapa naweza pata ban.
ha ha ha..haya bwana..
Habari zenu wana MMU!!!!
Leo nataka niongee na wanandoa, Yes wewe mume haswaa!
Hebu fanya tathmini ya ufanyaji wako wa tendo la ndoa na mkeo,
unaonaje, ni wa kukariri na kujirudia rudia au ni wa kubadilika kila siku??
Kaa ukielewa kuwa wanawake wanapenda mwanaume ambaye" Hatabiriki" .
Mzee mwenzangu usiwe umekariri jinsi ya kucheza mechi yako kiasi kwamba wife anajua kwamba, ukishakaa mkao huu kinachofuata ni hivi kisha vile then mchezo unaisha!!
Jaribu kuwa mbunifu na kubadilika badilika.
Of coz ni kweli uyasemayo, ila Ila kuna sifa moja ya ziada ukiwa nayo .................unaweza kufa kwa mapenzi ya wanawake!!
Wanawake wengi wanapenda sana hio ziada..........................!!
Sasa kwa nini hizi zana zina ekisipaya mapema jamani? Ingekuwa safi sana kama zingekuwa zinaimarika na kuongezeka ubora kadiri umri unavyosonga
Siyo kila maelezo yana mfano, kuna mengineukiyapa mfano eidha unakufa au unaharibu maadili ya jamii husika. Hivi aliyewahi kukusimulia kuwa ukigongwa na gari unaweza ukafa au binduki inauwa alikupa mfano?aaah hapana mkubwa! hakuna somo nzuri kama somo ambalo utafundishwa na ukapewa na mifano,kwa mfano somo la hesabu bila mifano litaelekwa kweli?
Mkuu rekebisha kidogo hapo, maana mimi ni dume la mbegu.
Tusishushiana heshima.
Something tells me na wewe ni mtoto mwenzangu...
Siyo kila maelezo yana mfano, kuna mengineukiyapa mfano eidha unakufa au unaharibu maadili ya jamii husika. Hivi aliyewahi kukusimulia kuwa ukigongwa na gari unaweza ukafa au binduki inauwa alikupa mfano?
Siyo kila maelezo yana mfano, kuna mengineukiyapa mfano eidha unakufa au unaharibu maadili ya jamii husika. Hivi aliyewahi kukusimulia kuwa ukigongwa na gari unaweza ukafa au binduki inauwa alikupa mfano?