Thailand
JF-Expert Member
- Nov 15, 2019
- 262
- 778
Nina sitajabishwa na Mambo yanaoendelea CHADEMA pale mwenyekiti wa chama na baadhi ya wajumbe wenye CV nyepesi Kama mchungaji Peter Msigwa na wao kuchukua form ya urais ili kupata ridhaa ya kupeperusha bendera ya urais kupitia CHADEMA.
Mbowe una mapungufu mengi uliyosababishia chama chetu kiasi Cha kufanya tupoteze imani kwa wananchi. Kosa lako kubwa Ni mwaka 2015 kushawishi na kutuletea Mwana CCM Lowasa kugombea nafasi ya just kwenye chama chetu Cha CHADEMA ( Ni chama chetu sisi wapinzani kwa maana kinapokea ruzuku kutoka serikalini kwa sababu Ni chama Cha siasa kwa ajili ya watu was watanzania. Kwa hiyo CHADEMA sio Cha mbowe Wala kundi la watu Fulani) kwa kosa Hilo moja kubwa na la kung'ang'ania kwenye madaraka ya Uenyekiti wa nyama sidhani Kama hata ulistahili kuchukua form ya kugombea Urais kupitia chama chetu hiki Cha CHADEMA.
The same kwa wagombea wengine waliomba ridhaa ya chama kuwapitisha kugombea Urais kupitia CHADEMA, kiukweli mna CV nyepesi Sana endapo mtapewa jukumu Hilo kwenda kupambana na jiwe. Rais Magafuli kajipanga Sana kwa vitu vionekanavyo, na mnajua watanzania wanatatizo la kushabikia vitu vionekanavyo kwa macho kuliko hoja kwa hapa rais Magafuli atakuwa anawachapa to bila huruma mpaka mnaweza mkajikuta mnazomewa kwenye viwanja vya kampeni.
Kwa namna rais Magafuli alivyojipanga anaitaji mtu Mwenye uwezo mkubwa katika kujenga hoja na anaetembea nae bampa2bampa yaani Mwenye uwezo wa kuchimba data na kuonesha negative growth inayotokana na uamuzi was rais Pekee katika miradi isiyowagusa wananchi wengi was kipato Cha chini hapo utakuwa unamuumbua rais pasipo kutegemea.
Ndio maana Kati ya wote waliochukua form ya kupeperusha bendera ya Urais kupitia chama chetu Cha CHADEMA Mimi napendekeza TUNDU ANTIPAS LISSU Kugombea Urais kupitia CHADEMA.
Huyu bwana Yuko vizuri kwenye kujenga hoja na kupangua hoja mtayaamini haya endapo kipindi cha kampeni rais Magafuli atakubali kukaa meza moja ya mahojiano na kiongozi Tundu Lissu.
Kitu Cha pili kitakachombeba Tundu Lissu Ni huruma ya wananchi wasl watanzania pale watakapokuwa wakimuona Tundu Lissu akiwa anachechemea kutokana na kupigwa risasi na watu wanaosemekana kwamba Ni "wasiojulikana" na serikali ya Magafuli haijawi kuja na majibu ya kushika wahusika huku wao ndio wamiliki was vyombo vyote vya Dora.
CHADEMA tusifanye makosa kumpa nafasi bwana Tundu Antipas Lissu kupeperusha bendera ya Urais kupitia chama chetu Cha CHADEMA, hiyo Ni Lulu inayotembea na niwaombe CCM Kama mnaipenda nchi kuweni huru kumuacha Tundu Lissu apambane na Magufuli wenu halafu muone Nini kitatokea.
Hila Tundu Lissu usiogope kuja Tanzania kisa watesi wako Hawa wa chache wa kukudhoofisha mwili tambua unaitajika Sana katika taifa hili ili kukamilisha kazi ulioianza ya kutetea rasilimali na kupinga ufisadi unaoendelezwa na CCM kisa kukumbatia mifumo ya kikoloni inayowapa utukufu kundi la watu wachache.
Mbowe una mapungufu mengi uliyosababishia chama chetu kiasi Cha kufanya tupoteze imani kwa wananchi. Kosa lako kubwa Ni mwaka 2015 kushawishi na kutuletea Mwana CCM Lowasa kugombea nafasi ya just kwenye chama chetu Cha CHADEMA ( Ni chama chetu sisi wapinzani kwa maana kinapokea ruzuku kutoka serikalini kwa sababu Ni chama Cha siasa kwa ajili ya watu was watanzania. Kwa hiyo CHADEMA sio Cha mbowe Wala kundi la watu Fulani) kwa kosa Hilo moja kubwa na la kung'ang'ania kwenye madaraka ya Uenyekiti wa nyama sidhani Kama hata ulistahili kuchukua form ya kugombea Urais kupitia chama chetu hiki Cha CHADEMA.
The same kwa wagombea wengine waliomba ridhaa ya chama kuwapitisha kugombea Urais kupitia CHADEMA, kiukweli mna CV nyepesi Sana endapo mtapewa jukumu Hilo kwenda kupambana na jiwe. Rais Magafuli kajipanga Sana kwa vitu vionekanavyo, na mnajua watanzania wanatatizo la kushabikia vitu vionekanavyo kwa macho kuliko hoja kwa hapa rais Magafuli atakuwa anawachapa to bila huruma mpaka mnaweza mkajikuta mnazomewa kwenye viwanja vya kampeni.
Kwa namna rais Magafuli alivyojipanga anaitaji mtu Mwenye uwezo mkubwa katika kujenga hoja na anaetembea nae bampa2bampa yaani Mwenye uwezo wa kuchimba data na kuonesha negative growth inayotokana na uamuzi was rais Pekee katika miradi isiyowagusa wananchi wengi was kipato Cha chini hapo utakuwa unamuumbua rais pasipo kutegemea.
Ndio maana Kati ya wote waliochukua form ya kupeperusha bendera ya Urais kupitia chama chetu Cha CHADEMA Mimi napendekeza TUNDU ANTIPAS LISSU Kugombea Urais kupitia CHADEMA.
Huyu bwana Yuko vizuri kwenye kujenga hoja na kupangua hoja mtayaamini haya endapo kipindi cha kampeni rais Magafuli atakubali kukaa meza moja ya mahojiano na kiongozi Tundu Lissu.
Kitu Cha pili kitakachombeba Tundu Lissu Ni huruma ya wananchi wasl watanzania pale watakapokuwa wakimuona Tundu Lissu akiwa anachechemea kutokana na kupigwa risasi na watu wanaosemekana kwamba Ni "wasiojulikana" na serikali ya Magafuli haijawi kuja na majibu ya kushika wahusika huku wao ndio wamiliki was vyombo vyote vya Dora.
CHADEMA tusifanye makosa kumpa nafasi bwana Tundu Antipas Lissu kupeperusha bendera ya Urais kupitia chama chetu Cha CHADEMA, hiyo Ni Lulu inayotembea na niwaombe CCM Kama mnaipenda nchi kuweni huru kumuacha Tundu Lissu apambane na Magufuli wenu halafu muone Nini kitatokea.
Hila Tundu Lissu usiogope kuja Tanzania kisa watesi wako Hawa wa chache wa kukudhoofisha mwili tambua unaitajika Sana katika taifa hili ili kukamilisha kazi ulioianza ya kutetea rasilimali na kupinga ufisadi unaoendelezwa na CCM kisa kukumbatia mifumo ya kikoloni inayowapa utukufu kundi la watu wachache.