Uchaguzi 2020 Tusidanganyane! Tundu Lissu ndie mpinzani pekee anaeweza kumpa ushindani Rais Magufuli kwenye Uchaguzi Mkuu wa Oct 2020

Thailand

JF-Expert Member
Nov 15, 2019
262
778
Nina sitajabishwa na Mambo yanaoendelea CHADEMA pale mwenyekiti wa chama na baadhi ya wajumbe wenye CV nyepesi Kama mchungaji Peter Msigwa na wao kuchukua form ya urais ili kupata ridhaa ya kupeperusha bendera ya urais kupitia CHADEMA.

Mbowe una mapungufu mengi uliyosababishia chama chetu kiasi Cha kufanya tupoteze imani kwa wananchi. Kosa lako kubwa Ni mwaka 2015 kushawishi na kutuletea Mwana CCM Lowasa kugombea nafasi ya just kwenye chama chetu Cha CHADEMA ( Ni chama chetu sisi wapinzani kwa maana kinapokea ruzuku kutoka serikalini kwa sababu Ni chama Cha siasa kwa ajili ya watu was watanzania. Kwa hiyo CHADEMA sio Cha mbowe Wala kundi la watu Fulani) kwa kosa Hilo moja kubwa na la kung'ang'ania kwenye madaraka ya Uenyekiti wa nyama sidhani Kama hata ulistahili kuchukua form ya kugombea Urais kupitia chama chetu hiki Cha CHADEMA.

The same kwa wagombea wengine waliomba ridhaa ya chama kuwapitisha kugombea Urais kupitia CHADEMA, kiukweli mna CV nyepesi Sana endapo mtapewa jukumu Hilo kwenda kupambana na jiwe. Rais Magafuli kajipanga Sana kwa vitu vionekanavyo, na mnajua watanzania wanatatizo la kushabikia vitu vionekanavyo kwa macho kuliko hoja kwa hapa rais Magafuli atakuwa anawachapa to bila huruma mpaka mnaweza mkajikuta mnazomewa kwenye viwanja vya kampeni.

Kwa namna rais Magafuli alivyojipanga anaitaji mtu Mwenye uwezo mkubwa katika kujenga hoja na anaetembea nae bampa2bampa yaani Mwenye uwezo wa kuchimba data na kuonesha negative growth inayotokana na uamuzi was rais Pekee katika miradi isiyowagusa wananchi wengi was kipato Cha chini hapo utakuwa unamuumbua rais pasipo kutegemea.
Ndio maana Kati ya wote waliochukua form ya kupeperusha bendera ya Urais kupitia chama chetu Cha CHADEMA Mimi napendekeza TUNDU ANTIPAS LISSU Kugombea Urais kupitia CHADEMA.

Huyu bwana Yuko vizuri kwenye kujenga hoja na kupangua hoja mtayaamini haya endapo kipindi cha kampeni rais Magafuli atakubali kukaa meza moja ya mahojiano na kiongozi Tundu Lissu.

Kitu Cha pili kitakachombeba Tundu Lissu Ni huruma ya wananchi wasl watanzania pale watakapokuwa wakimuona Tundu Lissu akiwa anachechemea kutokana na kupigwa risasi na watu wanaosemekana kwamba Ni "wasiojulikana" na serikali ya Magafuli haijawi kuja na majibu ya kushika wahusika huku wao ndio wamiliki was vyombo vyote vya Dora.

CHADEMA tusifanye makosa kumpa nafasi bwana Tundu Antipas Lissu kupeperusha bendera ya Urais kupitia chama chetu Cha CHADEMA, hiyo Ni Lulu inayotembea na niwaombe CCM Kama mnaipenda nchi kuweni huru kumuacha Tundu Lissu apambane na Magufuli wenu halafu muone Nini kitatokea.

Hila Tundu Lissu usiogope kuja Tanzania kisa watesi wako Hawa wa chache wa kukudhoofisha mwili tambua unaitajika Sana katika taifa hili ili kukamilisha kazi ulioianza ya kutetea rasilimali na kupinga ufisadi unaoendelezwa na CCM kisa kukumbatia mifumo ya kikoloni inayowapa utukufu kundi la watu wachache.
 
Thailand,
Mbona ushauri wako hapo mwishoni haueleweki ,"chadema tusifanye makosa kumpa nafasi bwana Tundu antipas lissu.."
Mbona hueleweki?

Kwamba asipewe au unamaanisha nini
 
Nina sitajabishwa na Mambo yanaoendelea CHADEMA pale mwenyekiti wa chama na baadhi ya wajumbe wenye CV nyepesi Kama mchungaji Peter Msigwa na wao kuchukua form ya urais ili kupata ridhaa ya kupeperusha bendera ya urais kupitia CHADEMA.

Mbowe una mapungufu mengi uliyosababishia chama chetu kiasi Cha kufanya tupoteze imani kwa wananchi. Kosa lako kubwa Ni mwaka 2015 kushawishi na kutuletea Mwana CCM Lowasa kugombea nafasi ya just kwenye chama chetu Cha CHADEMA ( Ni chama chetu sisi wapinzani kwa maana kinapokea ruzuku kutoka serikalini kwa sababu Ni chama Cha siasa kwa ajili ya watu was watanzania. Kwa hiyo CHADEMA sio Cha mbowe Wala kundi la watu Fulani) kwa kosa Hilo moja kubwa na la kung'ang'ania kwenye madaraka ya Uenyekiti wa nyama sidhani Kama hata ulistahili kuchukua form ya kugombea Urais kupitia chama chetu hiki Cha CHADEMA.

The same kwa wagombea wengine waliomba ridhaa ya chama kuwapitisha kugombea Urais kupitia CHADEMA, kiukweli mna CV nyepesi Sana endapo mtapewa jukumu Hilo kwenda kupambana na jiwe. Rais Magafuli kajipanga Sana kwa vitu vionekanavyo, na mnajua watanzania wanatatizo la kushabikia vitu vionekanavyo kwa macho kuliko hoja kwa hapa rais Magafuli atakuwa anawachapa to bila huruma mpaka mnaweza mkajikuta mnazomewa kwenye viwanja vya kampeni.

Kwa namna rais Magafuli alivyojipanga anaitaji mtu Mwenye uwezo mkubwa katika kujenga hoja na anaetembea nae bampa2bampa yaani Mwenye uwezo wa kuchimba data na kuonesha negative growth inayotokana na uamuzi was rais Pekee katika miradi isiyowagusa wananchi wengi was kipato Cha chini hapo utakuwa unamuumbua rais pasipo kutegemea.
Ndio maana Kati ya wote waliochukua form ya kupeperusha bendera ya Urais kupitia chama chetu Cha CHADEMA Mimi napendekeza TUNDU ANTIPAS LISSU Kugombea Urais kupitia CHADEMA.

Huyu bwana Yuko vizuri kwenye kujenga hoja na kupangua hoja mtayaamini haya endapo kipindi cha kampeni rais Magafuli atakubali kukaa meza moja ya mahojiano na kiongozi Tundu Lissu.

Kitu Cha pili kitakachombeba Tundu Lissu Ni huruma ya wananchi wasl watanzania pale watakapokuwa wakimuona Tundu Lissu akiwa anachechemea kutokana na kupigwa risasi na watu wanaosemekana kwamba Ni "wasiojulikana" na serikali ya Magafuli haijawi kuja na majibu ya kushika wahusika huku wao ndio wamiliki was vyombo vyote vya Dora.

CHADEMA tusifanye makosa kumpa nafasi bwana Tundu Antipas Lissu kupeperusha bendera ya Urais kupitia chama chetu Cha CHADEMA, hiyo Ni Lulu inayotembea na niwaombe CCM Kama mnaipenda nchi kuweni huru kumuacha Tundu Lissu apambane na Magufuli wenu halafu muone Nini kitatokea.

Hila Tundu Lissu usiogope kuja Tanzania kisa watesi wako Hawa wa chache wa kukudhoofisha mwili tambua unaitajika Sana katika taifa hili ili kukamilisha kazi ulioianza ya kutetea rasilimali na kupinga ufisadi unaoendelezwa na CCM kisa kukumbatia mifumo ya kikoloni inayowapa utukufu kundi la watu wachache.
Lema ameshakataa nenda kamuombe abadirishe msimamo. Lakini kwa taarifa yako Rais Magufuli hana wakushindana naye!!
 
Shida ni kwamba Tundu Lisu hawezi kupata kura za Kilimanajaro ambazo ni muhimu kwa uhai wa chadema labda kama atagombea Chama kingine, na chadema wanalijua hilo hivyo hawawezi kucheza hapo kwani uhai wa chadema upo Kilimanjaro na ndio maana Mbowe anataka kugombea ili angalau aweze kubakiza kura (baadhi) za Kilimanjaro, ...
 
Wenye chama washaamua, kwenda na Membe! Msijisumbue wanazi wa ufipa
 
Nina sitajabishwa na Mambo yanaoendelea CHADEMA pale mwenyekiti wa chama na baadhi ya wajumbe wenye CV nyepesi Kama mchungaji Peter Msigwa na wao kuchukua form ya urais ili kupata ridhaa ya kupeperusha bendera ya urais kupitia CHADEMA.

Mbowe una mapungufu mengi uliyosababishia chama chetu kiasi Cha kufanya tupoteze imani kwa wananchi. Kosa lako kubwa Ni mwaka 2015 kushawishi na kutuletea Mwana CCM Lowasa kugombea nafasi ya just kwenye chama chetu Cha CHADEMA ( Ni chama chetu sisi wapinzani kwa maana kinapokea ruzuku kutoka serikalini kwa sababu Ni chama Cha siasa kwa ajili ya watu was watanzania. Kwa hiyo CHADEMA sio Cha mbowe Wala kundi la watu Fulani) kwa kosa Hilo moja kubwa na la kung'ang'ania kwenye madaraka ya Uenyekiti wa nyama sidhani Kama hata ulistahili kuchukua form ya kugombea Urais kupitia chama chetu hiki Cha CHADEMA.

The same kwa wagombea wengine waliomba ridhaa ya chama kuwapitisha kugombea Urais kupitia CHADEMA, kiukweli mna CV nyepesi Sana endapo mtapewa jukumu Hilo kwenda kupambana na jiwe. Rais Magafuli kajipanga Sana kwa vitu vionekanavyo, na mnajua watanzania wanatatizo la kushabikia vitu vionekanavyo kwa macho kuliko hoja kwa hapa rais Magafuli atakuwa anawachapa to bila huruma mpaka mnaweza mkajikuta mnazomewa kwenye viwanja vya kampeni.

Kwa namna rais Magafuli alivyojipanga anaitaji mtu Mwenye uwezo mkubwa katika kujenga hoja na anaetembea nae bampa2bampa yaani Mwenye uwezo wa kuchimba data na kuonesha negative growth inayotokana na uamuzi was rais Pekee katika miradi isiyowagusa wananchi wengi was kipato Cha chini hapo utakuwa unamuumbua rais pasipo kutegemea.
Ndio maana Kati ya wote waliochukua form ya kupeperusha bendera ya Urais kupitia chama chetu Cha CHADEMA Mimi napendekeza TUNDU ANTIPAS LISSU Kugombea Urais kupitia CHADEMA.

Huyu bwana Yuko vizuri kwenye kujenga hoja na kupangua hoja mtayaamini haya endapo kipindi cha kampeni rais Magafuli atakubali kukaa meza moja ya mahojiano na kiongozi Tundu Lissu.

Kitu Cha pili kitakachombeba Tundu Lissu Ni huruma ya wananchi wasl watanzania pale watakapokuwa wakimuona Tundu Lissu akiwa anachechemea kutokana na kupigwa risasi na watu wanaosemekana kwamba Ni "wasiojulikana" na serikali ya Magafuli haijawi kuja na majibu ya kushika wahusika huku wao ndio wamiliki was vyombo vyote vya Dora.

CHADEMA tusifanye makosa kumpa nafasi bwana Tundu Antipas Lissu kupeperusha bendera ya Urais kupitia chama chetu Cha CHADEMA, hiyo Ni Lulu inayotembea na niwaombe CCM Kama mnaipenda nchi kuweni huru kumuacha Tundu Lissu apambane na Magufuli wenu halafu muone Nini kitatokea.

Hila Tundu Lissu usiogope kuja Tanzania kisa watesi wako Hawa wa chache wa kukudhoofisha mwili tambua unaitajika Sana katika taifa hili ili kukamilisha kazi ulioianza ya kutetea rasilimali na kupinga ufisadi unaoendelezwa na CCM kisa kukumbatia mifumo ya kikoloni inayowapa utukufu kundi la watu wachache.
Ww wote ccm wanaogopa hoja za lissu....kwanza serikal kama ina wapenda watu wake wote...wafanye kutafuta haki za mtu huyu mojaa tu...alafu watudanganye na barabara
 
Bavicha hawajui wamchague nani kati ya lissu na mbowe
Lissu atakwama tu,ataambiwa aje achukue mwenyewe fomu ufipa na yeye anaogopa
 
Kwa namna rais Magafuli alivyojipanga anaitaji mtu Mwenye uwezo mkubwa katika kujenga hoja na anaetembea nae bampa2bampa yaani Mwenye uwezo wa kuchimba data.
Ndio maana Kati ya wote waliochukua form ya kupeperusha bendera ya Urais kupitia chama chetu Cha CHADEMA Mimi napendekeza TUNDU ANTIPAS LISSU Kugombea Urais kupitia CHADEMA.
Nikweli, naunga mkono hoja
Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha Uwezo Zaidi ya Magufuli!

Tatizo ni jee atarudi?.
Kwa mliomsikia Tundu Lissu kwenye Hard Talk, unadhani atarejea nchini? Mimi sina hakika na akirejea, atakuwa ni shujaa kuliko hata Nelson Mandela!
P
 
Nina sitajabishwa na Mambo yanaoendelea CHADEMA pale mwenyekiti wa chama na baadhi ya wajumbe wenye CV nyepesi Kama mchungaji Peter Msigwa na wao kuchukua form ya urais ili kupata ridhaa ya kupeperusha bendera ya urais kupitia CHADEMA.

Mbowe una mapungufu mengi uliyosababishia chama chetu kiasi Cha kufanya tupoteze imani kwa wananchi. Kosa lako kubwa Ni mwaka 2015 kushawishi na kutuletea Mwana CCM Lowasa kugombea nafasi ya just kwenye chama chetu Cha CHADEMA ( Ni chama chetu sisi wapinzani kwa maana kinapokea ruzuku kutoka serikalini kwa sababu Ni chama Cha siasa kwa ajili ya watu was watanzania. Kwa hiyo CHADEMA sio Cha mbowe Wala kundi la watu Fulani) kwa kosa Hilo moja kubwa na la kung'ang'ania kwenye madaraka ya Uenyekiti wa nyama sidhani Kama hata ulistahili kuchukua form ya kugombea Urais kupitia chama chetu hiki Cha CHADEMA.

The same kwa wagombea wengine waliomba ridhaa ya chama kuwapitisha kugombea Urais kupitia CHADEMA, kiukweli mna CV nyepesi Sana endapo mtapewa jukumu Hilo kwenda kupambana na jiwe. Rais Magafuli kajipanga Sana kwa vitu vionekanavyo, na mnajua watanzania wanatatizo la kushabikia vitu vionekanavyo kwa macho kuliko hoja kwa hapa rais Magafuli atakuwa anawachapa to bila huruma mpaka mnaweza mkajikuta mnazomewa kwenye viwanja vya kampeni.

Kwa namna rais Magafuli alivyojipanga anaitaji mtu Mwenye uwezo mkubwa katika kujenga hoja na anaetembea nae bampa2bampa yaani Mwenye uwezo wa kuchimba data na kuonesha negative growth inayotokana na uamuzi was rais Pekee katika miradi isiyowagusa wananchi wengi was kipato Cha chini hapo utakuwa unamuumbua rais pasipo kutegemea.
Ndio maana Kati ya wote waliochukua form ya kupeperusha bendera ya Urais kupitia chama chetu Cha CHADEMA Mimi napendekeza TUNDU ANTIPAS LISSU Kugombea Urais kupitia CHADEMA.

Huyu bwana Yuko vizuri kwenye kujenga hoja na kupangua hoja mtayaamini haya endapo kipindi cha kampeni rais Magafuli atakubali kukaa meza moja ya mahojiano na kiongozi Tundu Lissu.

Kitu Cha pili kitakachombeba Tundu Lissu Ni huruma ya wananchi wasl watanzania pale watakapokuwa wakimuona Tundu Lissu akiwa anachechemea kutokana na kupigwa risasi na watu wanaosemekana kwamba Ni "wasiojulikana" na serikali ya Magafuli haijawi kuja na majibu ya kushika wahusika huku wao ndio wamiliki was vyombo vyote vya Dora.

CHADEMA tusifanye makosa kumpa nafasi bwana Tundu Antipas Lissu kupeperusha bendera ya Urais kupitia chama chetu Cha CHADEMA, hiyo Ni Lulu inayotembea na niwaombe CCM Kama mnaipenda nchi kuweni huru kumuacha Tundu Lissu apambane na Magufuli wenu halafu muone Nini kitatokea.

Hila Tundu Lissu usiogope kuja Tanzania kisa watesi wako Hawa wa chache wa kukudhoofisha mwili tambua unaitajika Sana katika taifa hili ili kukamilisha kazi ulioianza ya kutetea rasilimali na kupinga ufisadi unaoendelezwa na CCM kisa kukumbatia mifumo ya kikoloni inayowapa utukufu kundi la watu wachache.
Mkuu naunga hoja mkono, kimsingi na wala siyo ombi mh.mbowe anatakiwa apunguze tamaa za uongozi, haiwezekani leo unakifanya eti kuna wazee wamekuomba ugombee uraisi haa! Huoni hata aibu? Watanzania tunamtaka lisu vinginevyo msitarajie kupata hata mbunge mmoja, tena wewe uligombea miaka ile ukashindwa kwa sasa acha na wengine wajalibu baaht zao
 
Kwakweli ifike mahara CDM wasome nyakati, kipiñdi hiki siyo cha kusimamisha mtu kwenye nafasi ya urais ili mradi tu hapana, nashindwa kuelewa kama nikweli watu wanne zaidi wameonesha nia ya kugombea urais ndani ya CHADEMA(CDM) ambao ni MBOWE, MSIGWA, NYARANDU, LISSU nk tusitegemee upinzani tena wao wangefanya namna wakubaliane na kumuacha LISSU pekee kwenye hiyo nafasi na wamsapoti, na ukishagombea urais tyl huwezi kugombea ubunge tena, hizi ni tamaa.
 
Nina sitajabishwa na Mambo yanaoendelea CHADEMA pale mwenyekiti wa chama na baadhi ya wajumbe wenye CV nyepesi Kama mchungaji Peter Msigwa na wao kuchukua form ya urais ili kupata ridhaa ya kupeperusha bendera ya urais kupitia CHADEMA.

Mbowe una mapungufu mengi uliyosababishia chama chetu kiasi Cha kufanya tupoteze imani kwa wananchi. Kosa lako kubwa Ni mwaka 2015 kushawishi na kutuletea Mwana CCM Lowasa kugombea nafasi ya just kwenye chama chetu Cha CHADEMA ( Ni chama chetu sisi wapinzani kwa maana kinapokea ruzuku kutoka serikalini kwa sababu Ni chama Cha siasa kwa ajili ya watu was watanzania. Kwa hiyo CHADEMA sio Cha mbowe Wala kundi la watu Fulani) kwa kosa Hilo moja kubwa na la kung'ang'ania kwenye madaraka ya Uenyekiti wa nyama sidhani Kama hata ulistahili kuchukua form ya kugombea Urais kupitia chama chetu hiki Cha CHADEMA.

The same kwa wagombea wengine waliomba ridhaa ya chama kuwapitisha kugombea Urais kupitia CHADEMA, kiukweli mna CV nyepesi Sana endapo mtapewa jukumu Hilo kwenda kupambana na jiwe. Rais Magafuli kajipanga Sana kwa vitu vionekanavyo, na mnajua watanzania wanatatizo la kushabikia vitu vionekanavyo kwa macho kuliko hoja kwa hapa rais Magafuli atakuwa anawachapa to bila huruma mpaka mnaweza mkajikuta mnazomewa kwenye viwanja vya kampeni.

Kwa namna rais Magafuli alivyojipanga anaitaji mtu Mwenye uwezo mkubwa katika kujenga hoja na anaetembea nae bampa2bampa yaani Mwenye uwezo wa kuchimba data na kuonesha negative growth inayotokana na uamuzi was rais Pekee katika miradi isiyowagusa wananchi wengi was kipato Cha chini hapo utakuwa unamuumbua rais pasipo kutegemea.
Ndio maana Kati ya wote waliochukua form ya kupeperusha bendera ya Urais kupitia chama chetu Cha CHADEMA Mimi napendekeza TUNDU ANTIPAS LISSU Kugombea Urais kupitia CHADEMA.

Huyu bwana Yuko vizuri kwenye kujenga hoja na kupangua hoja mtayaamini haya endapo kipindi cha kampeni rais Magafuli atakubali kukaa meza moja ya mahojiano na kiongozi Tundu Lissu.

Kitu Cha pili kitakachombeba Tundu Lissu Ni huruma ya wananchi wasl watanzania pale watakapokuwa wakimuona Tundu Lissu akiwa anachechemea kutokana na kupigwa risasi na watu wanaosemekana kwamba Ni "wasiojulikana" na serikali ya Magafuli haijawi kuja na majibu ya kushika wahusika huku wao ndio wamiliki was vyombo vyote vya Dora.

CHADEMA tusifanye makosa kumpa nafasi bwana Tundu Antipas Lissu kupeperusha bendera ya Urais kupitia chama chetu Cha CHADEMA, hiyo Ni Lulu inayotembea na niwaombe CCM Kama mnaipenda nchi kuweni huru kumuacha Tundu Lissu apambane na Magufuli wenu halafu muone Nini kitatokea.

Hila Tundu Lissu usiogope kuja Tanzania kisa watesi wako Hawa wa chache wa kukudhoofisha mwili tambua unaitajika Sana katika taifa hili ili kukamilisha kazi ulioianza ya kutetea rasilimali na kupinga ufisadi unaoendelezwa na CCM kisa kukumbatia mifumo ya kikoloni inayowapa utukufu kundi la watu wachache.
Ccm watahakikisha akirudi tu wanamweka ndani, demokrasia imeondolewa nchini tusikubali uozo huu watanzania.
 
Ww wote ccm wanaogopa hoja za lissu....kwanza serikal kama ina wapenda watu wake wote...wafanye kutafuta haki za mtu huyu mojaa tu...alafu watudanganye na barabara
Wasiojulikana wamekuwa above the laws,untouchables and well protected by our own law enforcement instruments with all it costs,regardless if the consequences.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom