Winor_224
Member
- May 17, 2015
- 25
- 10
Kila siku tumekua tukiamini moyo ndo unapenda lakini si kweli, kwanza ijulikane, moyo kazi yake ni kupamp damu kwenye mwili wa binadamu so haihusiani kabisa na mapenzi ambayo at last huwa ni sex.
Unapompenda mtu moyo hautoonesha hata siku moja kama umempenda bali hutumika akili na organ za uzazi kuonesha umempenda, akili hutumika kwa kumfurahisha kwa kumpa zawadi, suprise n.k
Kwa kujua atafurahi organ za uzazi hutumika kwa kufanya sex kwa ajili ya kukidhi haja za kimwili na moyo muda wote huo unaendelea na kazi yake ya kupamp damu kwenye mwili na si kupenda.
Natumaini wapo wenzangu wanaoamini hivyo.
Unapompenda mtu moyo hautoonesha hata siku moja kama umempenda bali hutumika akili na organ za uzazi kuonesha umempenda, akili hutumika kwa kumfurahisha kwa kumpa zawadi, suprise n.k
Kwa kujua atafurahi organ za uzazi hutumika kwa kufanya sex kwa ajili ya kukidhi haja za kimwili na moyo muda wote huo unaendelea na kazi yake ya kupamp damu kwenye mwili na si kupenda.
Natumaini wapo wenzangu wanaoamini hivyo.