Tusidanganyane Moyo haupendi

Tusidanganyane Moyo haupendi

Winor_224

Member
Joined
May 17, 2015
Posts
25
Reaction score
10
Kila siku tumekua tukiamini moyo ndo unapenda lakini si kweli, kwanza ijulikane, moyo kazi yake ni kupamp damu kwenye mwili wa binadamu so haihusiani kabisa na mapenzi ambayo at last huwa ni sex.

Unapompenda mtu moyo hautoonesha hata siku moja kama umempenda bali hutumika akili na organ za uzazi kuonesha umempenda, akili hutumika kwa kumfurahisha kwa kumpa zawadi, suprise n.k

Kwa kujua atafurahi organ za uzazi hutumika kwa kufanya sex kwa ajili ya kukidhi haja za kimwili na moyo muda wote huo unaendelea na kazi yake ya kupamp damu kwenye mwili na si kupenda.

Natumaini wapo wenzangu wanaoamini hivyo.
 
Mkuu, haujawahi kuachika?? Mm naona ukigombana na mwenzi wako huaga kuna kitu kinauma kabisa, pale pale maeneo ya moyo unapokaaga, sasa hapo kinacho penda inawezekana ikawa roho/moyo wenyewe,
Ni mtazamo wangu, bado asubuhi
 
Mkuu, haujawahi kuachika?? Mm naona ukigombana na mwenzi wako huaga kuna kitu kinauma kabisa, pale pale maeneo ya moyo unapokaaga, sasa hapo kinacho penda inawezekana ikawa roho/moyo wenyewe,
Ni mtazamo wangu, bado asubuhi

Hahah wewe ni mzoefu.
 
Winor_224

Ulikuwa unajaribu kujenga hoja nzuri lakini ikakushinda, hata hiyo kazi ya kupump damu sio ya moyo bali ni conscious mind moyo ni kipitio tu cha kukamilisha mchakato mwekundu ameongea kwa kifupi sana ametaja soul n mind hivi ndio vitu vinavyohusika na hisia zote za mwili ikiwemo mapenzi
 
Last edited by a moderator:
Winor_224

Hata mtoto wa darasa la kwanza anajua tofauti ya moyo unaopenda na moyo unaosukuma damu.
 
Last edited by a moderator:
Aaaaaahh!!!! Yani asubui subui mnakuja na mada Kama hizii za mapenzii, So taifa litaendlea kwelii
 
Aaaaaahh!!!! Yani asubui subui mnakuja na mada Kama hizii za mapenzii, So taifa litaendlea kwelii

Unajua hapa umeingia jukwaa gani? kwani taifa linaendelea kwa watu kutojadili mapenzi? Hata taifa lenyewe halina wizara moja tu ya maendeleo, tuwe tunafikiria vitu katika barabara pana jamani
 
Kwa nini ukitendwa na mpnz wako unasikia kama moyo unachanika chanika! !! Au ni mimi tu!!!?

Ni hisia zinazoanzia kwenye ufahamu na kuja kuishia moyoni ni mgawanyo tu wa majukumu ya mwili ukiwaza sana ubongo ndio hufanya kazi sana mpaka kichwa kinauma na ukiumizwa sana moyo huuma lakini shina ya yote ni conscious mind hii ndio kila kitu
Ukilichukua limoyo au liubongo ukaliweka hapo kama havina conscious mind ni manyama tu ya kubanikwa au kupikwa roast ushushie na bia au chapati au ugali
 
Ni hisia zinazoanzia kwenye ufahamu na kuja kuishia moyoni ni mgawanyo tu wa majukumu ya mwili ukiwaza sana ubongo ndio hufanya kazi sana mpaka kichwa kinauma na ukiumizwa sana moyo huuma lakini shina ya yote ni conscious mind hii ndio kila kitu
Ukilichukua limoyo au liubongo ukaliweka hapo kama havina conscious mind ni manyama tu ya kubanikwa au kupikwa roast ushushie na bia au chapati au ugali

Hahahahaaaa! U made my day mkuu!
Asante mkuu!
Ila nahic ni darasa refu linatakiwa kama sio mind set! Maana binadamu kupaelewa hapo ni shida!
 
Unajua hapa umeingia jukwaa gani? kwani taifa linaendelea kwa watu kutojadili mapenzi? Hata taifa lenyewe halina wizara moja tu ya maendeleo, tuwe tunafikiria vitu katika barabara pana jamani

Sio kosa lake mkuu,kabla hujamjibu ungeangalia hata avatar yake
 
Kila siku tumekua tukiamini moyo ndo unapenda lakini si kweli, kwanza ijulikane, moyo kazi yake ni kupamp damu kwenye mwili wa binadamu so haihusiani kabisa na mapenzi ambayo at last huwa ni sex.

Unapompenda mtu moyo hautoonesha hata siku moja kama umempenda bali hutumika akili na organ za uzazi kuonesha umempenda, akili hutumika kwa kumfurahisha kwa kumpa zawadi, suprise n.k

Kwa kujua atafurahi organ za uzazi hutumika kwa kufanya sex kwa ajili ya kukidhi haja za kimwili na moyo muda wote huo unaendelea na kazi yake ya kupamp damu kwenye mwili na si kupenda.

Natumaini wapo wenzangu wanaoamini hivyo.

Mkuu cku ukiachika ndio utajua kazi ya moyo ktk mapenzi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom