Winor_224
Member
- May 17, 2015
- 25
- 10
- Thread starter
- #21
Nadhani niliongea kwa kifupi sikueleweka.......Moyo kuuma au kudunda ukiachika inatokana na stress na hofu ambazo chazo chake ni fikra....so kwa wale mnahisi moyo kuuma ukiachika ni kuathirika kwa mfumo wa damu pale unapopata stress kwenye ubongo....ndio maana hata ukiachika mapigo ya moyo yanaendelea kama kawaida lakini huongezeka kasi na kurelax kutokana na kutokana na athari za kwenye akili......na hali hiyo ya moyo hutokea hata pale tunapopata misiba,tunapofukuzwa kazi n.k........mnaoupa moyo kazi ya kupenda ndo ambao mwisho wa siku mnaishia kujiua...!!!
Ni wazo tu...!!!
Ni wazo tu...!!!