Tusidanganyane: Mbowe bado anataka kuwa Mwenyekiti wa Taifa wa CHADEMA

Siyo rahisi mtu kutelekeza "profession" yake ya uenyekiti kirahisi namna hii!
===
Tunasubiri Desemba 18,2019.
 
Mbowe anahitajika sasa kuliko nyakati zote alizowahi kuwa mwenyekiti.
Safari Mbowe akipita Tena jiandae chadema maelfu kuhama chama kuonyeshwa hasira zao kwake

Kuna kitu yeye na genge lake kugoma kutoka nacho ni.kuogopa mpya akishika asije itisha ukaguzi maalumi wa matumizi ya ruzuku ya Chama.

Mbowe anajua akishinda hata Kama wanachama wote watahama bado Ni ushindi kwake sababu hakutakuwa na wa kumhpji matumizi ya nyuma ya ruzuku
 
anajua akitoka tu kwenye hicho kiti

habari yake kwisha na hawezi kubali hilo

hata ingekua mimi mbowe "nisingekubali"

tutapokezana vingine,ila sio hii nafasi.
 
Hivi ni kwa nini CCM na washirika wake wanamwogopa sana Mbowe? Hivi kwa nini Vyama vingine wenyeviti wao ni wa miaka na miaka lakini watu hawawasemi kuwa wawaachie wengine bali Mbowe tu? Nani aliwahi kusikia uchaguzi wa mwenyekiti wa TLP ya Mrema?
Mkuu unajua vifo vya hivi vyama viliyokana na nini

Ikiwa vyama unavyo vitaja ni vyama vya upinzani basi ujue hakukuwa na haja ya kuwepo chadema

Kilicho viua hivyo vyama in kunga'ang'ania madaraka kwa viongozi wao na kubaki kama ni vyama vya familia


Chadema haipaswi kufika huko ilipaswa kujipambanua kwa namna ya kipekee na kuonyesha njia kwa vyama vilivyo lala usingizi
 
Uko sahihi kabisa katika andikp lako, Mbowe siasa za zama za Magufuli haziwezi, ningewaona vijana wa chadema wanazo akili kama wangemchulia fomu John Heche na Tundu Lisu, hawa ndio wenye uwezo wa kufanya siasa anazozitaka Magufuli. Jino kwa jino.
Ni kweli mkuu Mbowe alipoifikisha Chadema apumzike tu aachie vijana waongoze

Chadema hawataki kuuishi uhalisia kuwa Mbowe hana fikra mpya tena na kiuhalisia watu wanamuona hana jipya tena.
 
Mkuu unajua vifo vya hivi vyama viliyokana na nini

Ikiwa vyama unavyo vitaja ni vyama vya upinzani basi ujue hakukuwa na haja ya kuwepo chadema

Kilicho viua hivyo vyama in kunga'ang'ania madaraka kwa viongozi wao na kubaki kama ni vyama vya familia


Chadema haipaswi kufika huko ilipaswa kujipambanua kwa namna ya kipekee na kuonyesha njia kwa vyama vilivyo lala usingizi
Kama hiyo ndiyo sababu ya vyama kufa maana yake Mbowe akikaa sana madarakani ataiua Chadema. Na ninyi siku zote mnataka Chadema ife. sasa huoni kuwa hiyo ni faida kwenu? Malalamiko ya nini sasa? Si anawarahisishia kazi ya kufikia malengo yenu?
 
Ni kweli mkuu Mbowe alipoifikisha Chadema apumzike tu aachie vijana waongoze

Chadema hawataki kuuishi uhalisia kuwa Mbowe hana fikra mpya tena na kiuhalisia watu wanamuona hana jipya tena.
Watu gani hao? Wewe? Sasa kama hana jipya si ndio furaha kwenu adui wa Chadema?
 
Ni kweli mkuu Mbowe alipoifikisha Chadema apumzike tu aachie vijana waongoze

Chadema hawataki kuuishi uhalisia kuwa Mbowe hana fikra mpya tena na kiuhalisia watu wanamuona hana jipya tena.
Ukiona adui yako anayekuwinda na kukuombea mabaya kila siku anakukataza usifanye kitu fulani, basi hicho ndicho cha kufanya.
 
Mkuu unajua vifo vya hivi vyama viliyokana na nini

Ikiwa vyama unavyo vitaja ni vyama vya upinzani basi ujue hakukuwa na haja ya kuwepo chadema

Kilicho viua hivyo vyama in kunga'ang'ania madaraka kwa viongozi wao na kubaki kama ni vyama vya familia


Chadema haipaswi kufika huko ilipaswa kujipambanua kwa namna ya kipekee na kuonyesha njia kwa vyama vilivyo lala usingizi
Ukiona adui yako anakukataza usipite njia fulani, basi hiyo ndiyo njia sahihi ya kupita. Maana adui siku zote hataki jema likupate.
 
Kama hiyo ndiyo sababu ya vyama kufa maana yake Mbowe akikaa sana madarakani ataiua Chadema. Na ninyi siku zote mnataka Chadema ife. sasa huoni kuwa hiyo ni faida kwenu? Malalamiko ya nini sasa? Si anawarahisishia kazi ya kufikia malengo yenu?
Mkuu unaweza kuhisi kila anae pinga jambo fulan akawa wa upande Fulani sio kweli maana jicho la tatu ni mhimu kwaajili yakesho

Chadema ni nguzo ya maendeleo ya nchi japo wanasiasa wa Ccm hawezi kusema


Na ukumbuke chadema ni Mali ya watanzania wote bila kujali makabila na dini


Sasa mwanachi akihoji mnasema katumwa na Ccm maanake mnafeli sana


Sio wote wapinzani watakuwa na mawazo sawa na viongozi
 
Mchaga aachie sufuria ya ruzuku jikoni.Sio rahisi.Ruzuku ikitutwa chadema mbowe siku hiyohiyo anakabidhi Chama kwa yeyote Aweza mkabidhi hata mdude
Unachosahau ni kwamba maisha ya Mbowe hayajaanzia CDM. Alikuwa na maisha yake mazuri tu kabla ya kuingia CDM.
 
Nimesoma mada ya ndugu na Rafiki yangu Molemo inayodai kuwa maelfu ya wanachama wa CHADEMA wamejitokeza kuchangia fedha kwa ajili ya kumchukulia na kumpelekea fomu ya kugombea Uenyekiti wa Taifa Mwenyekiti wa sasa Mhe. Freeman A. Mbowe. Fomu husika, kwa uchaguzi wa Disemba, inagharimu shilingi milioni moja za kitanzania.

Mkuu Molemo anajaribu kuonyesha kuwa wanachama wa CHADEMA kwa maelfu bado wanamtaka Mbowe ili 'awavushe'. Mbowe amekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA kwa zaidi ya miaka kumi akichukua uongozi baada ya Hayati Bob Makani. Sikubaliani na hoja kuwa Mbowe analazimishwa na wanachama kugombea Uenyekiti.

Ingawa mimi si mwanasiasa, ufuatiliaji wangu wa siasa katika vyama vyote umenifahamisha kuwa siasa ni mkusanyiko wa maigizo, ulaghai na utapeli ulio na chembechembe ndogo za ukweli. Kwenye siasa, 9 husemwa 6 na sifuri na o zaweza kutotofautishwa kirahisi. Kwenye siasa, ambamo Mbowe yumo, kunaweza kuigizwa jambo hadi watu wakaamini.

Nasema kuwa Mbowe (kama itaonekana amechangiwa na kupelekewa fomu) anataka mwenyewe kuendelea kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa. Haya maigizo ya kuchangiwa na kubembelezwa kugombea nayakataa. Walishawahi kuwepo wanasiasa waliotembelewa na kuombwa kugombea katika aina hii hii ya maigizo.

Mbowe amefanya mengi na makubwa. Anapaswa kukaa benchi la washauri wa chama na kuachia wengine wakiongoze chama. Aliyoyafanya wakati wa uongozi wake yatamfanya akumbukwe na kuheshimika kuliko aendelee na kundelea kusemwa kama mlafi wa madaraka kwenye chama chake.
Kwani kuna ubaya akiwa anatamani kuendelea? Mbona katiba inamruhusu, tunachokitaka ni watu wachukue fomu na yeye kama anataka achukue wanachama wakiwa na imani nae bado watamrudisha.
 
Tatizo ukionesha nia tu ya kugombea wana kuMADAA.
Muacheni agombee tu kwa uwazi maana chama chenyewe kinaelekea mtaroni
Hiyo safari ya CDM kuelekea mtaroni mbona imekuwa ndefu sana. Unakumbuka Wassira alitabiri CDM itakuwa mtaroni kabla ya 2015. Kilichotokea yeye ndiye akaingia mtaroni badala ya CDM. Endeleeni kusubiri, si mnasema subira inavuta heri! Ila nina mashaka hiyo subira ya kwenu inavuta bange.
 
Sasa kama wanachama wa cdm bado tunamuhitaji mh Mbowe kuendelea kuwa mwenyekiti wetu kosa letu au la mh Mbowe linatoka wapi?
Kweli kabisa kamanda!
Sisi wanachama tunamtaka Mbowe wetu aendelee - Mambo ya Demokrasiademokrasia wapelekeeni wazungu na vibaraka wao!
Matokeo yake mtakuja kutuzingua tena 2025 tutakapotaka jembe letu la CHATO liendelee.
Hivi mnadhani ni rahisi kuwapata viongozi aina ya Mbowe na Magufuli?
 
Nimesoma mada ya ndugu na Rafiki yangu Molemo inayodai kuwa maelfu ya wanachama wa CHADEMA wamejitokeza kuchangia fedha kwa ajili ya kumchukulia na kumpelekea fomu ya kugombea Uenyekiti wa Taifa Mwenyekiti wa sasa Mhe. Freeman A. Mbowe. Fomu husika, kwa uchaguzi wa Disemba, inagharimu shilingi milioni moja za kitanzania.

Mkuu Molemo anajaribu kuonyesha kuwa wanachama wa CHADEMA kwa maelfu bado wanamtaka Mbowe ili 'awavushe'. Mbowe amekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA kwa zaidi ya miaka kumi akichukua uongozi baada ya Hayati Bob Makani. Sikubaliani na hoja kuwa Mbowe analazimishwa na wanachama kugombea Uenyekiti.

Ingawa mimi si mwanasiasa, ufuatiliaji wangu wa siasa katika vyama vyote umenifahamisha kuwa siasa ni mkusanyiko wa maigizo, ulaghai na utapeli ulio na chembechembe ndogo za ukweli. Kwenye siasa, 9 husemwa 6 na sifuri na o zaweza kutotofautishwa kirahisi. Kwenye siasa, ambamo Mbowe yumo, kunaweza kuigizwa jambo hadi watu wakaamini.

Nasema kuwa Mbowe (kama itaonekana amechangiwa na kupelekewa fomu) anataka mwenyewe kuendelea kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa. Haya maigizo ya kuchangiwa na kubembelezwa kugombea nayakataa. Walishawahi kuwepo wanasiasa waliotembelewa na kuombwa kugombea katika aina hii hii ya maigizo.

Mbowe amefanya mengi na makubwa. Anapaswa kukaa benchi la washauri wa chama na kuachia wengine wakiongoze chama. Aliyoyafanya wakati wa uongozi wake yatamfanya akumbukwe na kuheshimika kuliko aendelee na kundelea kusemwa kama mlafi wa madaraka kwenye chama chake.
Kwa posti hii sasa unaanza kueleweza uko kapu gani! Si kwa pity je nani ambae angebomolewa nyumba ya tsh 100m na akakomaa hii Tanzania?

Nywele nyeupe kakimbia kwa vitisho tuu, huyu mwamba kafungwa, kajaribiwa kufilisiwa, karundikiwa makesi nk lakini bado yupoyupo saana!
 
Tatizo ukionesha nia tu ya kugombea wana kuMADAA.
Muacheni agombee tu kwa uwazi maana chama chenyewe kinaelekea mtaroni
Huyo Cecilia ajifunze kitu kwa Chacha wangwe kwanza. Maana mpaka leo kuna maswali mengi kuliko majibu. Na chadema imeshindwa kukanusha kuhusishwa na kifo cha mtu huyu
 
Back
Top Bottom