Tusidanganyane: Hapa lazima moto utawaka tu!

Tusidanganyane: Hapa lazima moto utawaka tu!

Dr Akili

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2011
Posts
5,313
Reaction score
4,750
Wewe fikiria eti vijana 500 wa UKAWA, 700 wa CCM na 50 wa ACT watakuwa wamekizunguka kila kituo cha kupigia kura hapo tarehe 25 Oct kuanzia saa mbili asubuhi hadi kesho yake wakilinda kura za vyama vyao visirubuniwe! Vijana hawa ambao kwa vyo vyote vile wengi wao watakuwa ni wale wasio na kazi (jobless), wakiwemo wavuta bangi, watumiaji wa viroba haramu (gongo), vibaka n.k. Watakuwa wameweka uzio mita 200 toka kituo cha kura. Hakuna huduma choo wala nyingine yo yote kuwahudumia vijana hawa.

Sasa tunaaminishwa kwamba kwa hali hiyo moto hautawaka kweli? Hili wala si jambo la wanasheria, ni suala la usalaama wa wananchi na halina mjadala.
 
Kila kituo kitakuwa na wapiga kura 450, kwa nini vijana wanaokizunguka wawe 1250? Au we gamba unaleta propaganda?

Japo namba zake sijui kapata wapi lkn nafikiri mkusanyiko kama huo utawavutia hata vijana wasiopiga kura. Mkusanyiko kama huu na jinsi viroba vilivyo rahisi kupatikana siku hizi hapana shaka mpaka jioni/usiku kutakua na idadi kubwa ya walevi, na hapo ndipo kwenye mashaka juu ya uvunjaji wa amani.
 
Hao watu wote watatoka wapi tanzania hii labda kama wengine utaazima toka kenya. Halafu eti unajiita dokta akili ingali uu mbumbumbu wa kutupa
 
Kituo ni nadharia, Kila sehemu palipokuwa na Uandikishaji kutakuwa na kituo zaidi ya kimoja kukidhi mahitaji ya wote waliokuwepo. Kuna maeneo waliandikisha zaidi ya siku 14 na kwa mashine zaidi ya mbili. Ikikupa Wastani wa watu 100 kwa mashine kwa siku. Unaweza kisia kwenye eneo moja kutakuwa na watu wangapi.
Jitoeni akili tu.
 
Kila kituo kitakuwa na wapiga kura 450, kwa nini vijana wanaokizunguka wawe 1250? Au we gamba unaleta propaganda?

Swali zuri sana. Upande mwingine wameshatuambia wapiga kura ni mil 28. labda anakokotoa kwa kutumia hiyo idadi yao.
 
Wewe fikiria eti vijana 500 wa UKAWA, 700 wa CCM na 50 wa ACT watakuwa wamekizunguka kila kituo cha kupigia kura hapo tarehe 25 Oct kuanzia saa mbili asubuhi hadi kesho yake wakilinda kura za vyama vyao visirubuniwe! Vijana hawa ambao kwa vyo vyote vile wengi wao watakuwa ni wale wasio na kazi (jobless), wakiwemo wavuta bangi, watumiaji wa viroba haramu (gongo), vibaka n.k. Watakuwa wameweka uzio mita 200 toka kituo cha kura. Hakuna huduma choo wala nyingine yo yote kuwahudumia vijana hawa.

Sasa tunaaminishwa kwamba kwa hali hiyo moto hautawaka kweli? Hili wala si jambo la wanasheria, ni suala la usalaama wa wananchi na halina mjadala.

embu eleza unavyoweza kulinda kura zisiibiwe ukiwa mita 200
 
Wewe fikiria eti vijana 500 wa UKAWA, 700 wa CCM na 50 wa ACT watakuwa wamekizunguka kila kituo cha kupigia kura hapo tarehe 25 Oct kuanzia saa mbili asubuhi hadi kesho yake wakilinda kura za vyama vyao visirubuniwe! Vijana hawa ambao kwa vyo vyote vile wengi wao watakuwa ni wale wasio na kazi (jobless), wakiwemo wavuta bangi, watumiaji wa viroba haramu (gongo), vibaka n.k. Watakuwa wameweka uzio mita 200 toka kituo cha kura. Hakuna huduma choo wala nyingine yo yote kuwahudumia vijana hawa.

Sasa tunaaminishwa kwamba kwa hali hiyo moto hautawaka kweli? Hili wala si jambo la wanasheria, ni suala la usalaama wa wananchi na halina mjadala.

Viroba wa ukawa
 
Wewe fikiria eti vijana 500 wa UKAWA, 700 wa CCM na 50 wa ACT watakuwa wamekizunguka kila kituo cha kupigia kura hapo tarehe 25 Oct kuanzia saa mbili asubuhi hadi kesho yake wakilinda kura za vyama vyao visirubuniwe! Vijana hawa ambao kwa vyo vyote vile wengi wao watakuwa ni wale wasio na kazi (jobless), wakiwemo wavuta bangi, watumiaji wa viroba haramu (gongo), vibaka n.k. Watakuwa wameweka uzio mita 200 toka kituo cha kura. Hakuna huduma choo wala nyingine yo yote kuwahudumia vijana hawa.

Sasa tunaaminishwa kwamba kwa hali hiyo moto hautawaka kweli? Hili wala si jambo la wanasheria, ni suala la usalaama wa wananchi na halina mjadala.
Hivi ni kwamba hamna akili au mnajitoa ufahamu?

Kile kizee cha TUME kilisema kila kituo kinakadiriwa kuwa na wapiga kura 450, wewe unasema 1250?

Halafu umesahau kuwa CCM hawalindi kura wala hawana sababu hiyo, kwa ajili wao ndio wezi wenyewe.

Hizo huduma za choo unazozisema, jana pale FURAHISHA zilikuwepo? UMATI wa walinda kura na umati wa mikutano ya kisiasa upi mkubwa? Mbona hamuwekagi vyoo?
 
Wewe fikiria eti vijana 500 wa UKAWA, 700 wa CCM na 50 wa ACT watakuwa wamekizunguka kila kituo cha kupigia kura hapo tarehe 25 Oct kuanzia saa mbili asubuhi hadi kesho yake wakilinda kura za vyama vyao visirubuniwe! Vijana hawa ambao kwa vyo vyote vile wengi wao watakuwa ni wale wasio na kazi (jobless), wakiwemo wavuta bangi, watumiaji wa viroba haramu (gongo), vibaka n.k. Watakuwa wameweka uzio mita 200 toka kituo cha kura. Hakuna huduma choo wala nyingine yo yote kuwahudumia vijana hawa.

Sasa tunaaminishwa kwamba kwa hali hiyo moto hautawaka kweli? Hili wala si jambo la wanasheria, ni suala la usalaama wa wananchi na halina mjadala.

Kungekuwa hakuna wizi wa kura hapi sawa, mfano kura za maoni wewe mwenyewe umeshuhudia hao hao ccm walikuwa wanaibiana kura na wakakamatana wao wenyewe, itakuwa kwa upinzani, manake mna mbinu 100 kama alivyosema nape, mkishindwa hili litakuja hili, kumbuka 2010 madudu mangapi yalikamatwa mfano ubungo na kule mbeya, bila wananchi hayo majimbo kura zingepigwa tiktaka, kama watatuhakikishia kuwa hakuna foreign particle itakayopelekwa wakati kura zishapigwa, hapo sawa, lakini zishapigwa mara mabox hayo yanaletwa mengine, nyie ndio mtaleta maafa kwa kuvunja amani kwani wananchi hawatakubali
 
Wewe fikiria eti vijana 500 wa UKAWA, 700 wa CCM na 50 wa ACT watakuwa wamekizunguka kila kituo cha kupigia kura hapo tarehe 25 Oct kuanzia saa mbili asubuhi hadi kesho yake wakilinda kura za vyama vyao visirubuniwe! Vijana hawa ambao kwa vyo vyote vile wengi wao watakuwa ni wale wasio na kazi (jobless), wakiwemo wavuta bangi, watumiaji wa viroba haramu (gongo), vibaka n.k. Watakuwa wameweka uzio mita 200 toka kituo cha kura. Hakuna huduma choo wala nyingine yo yote kuwahudumia vijana hawa.

Sasa tunaaminishwa kwamba kwa hali hiyo moto hautawaka kweli? Hili wala si jambo la wanasheria, ni suala la usalaama wa wananchi na halina mjadala.

Halafu una kauli mbaya sana, hiyo hiyo ccm imesababisha watu kukosa ajira, elimu nk, leo unawaita wavuta bangi na wanywa viroba, nyie mna dharau sana, na mbaya zaidi mnatisha wananchi kuwa nchi ikichukuliwa na upinzani tz italuwa kama libya, sijui rwanda na burundi, zile sio lugha nzuri kabisa ni za vitisho, kama mlijua hilo kwanini mkaruhusu vyama vingi, mngekaa nyie tu milele na milele amina, mtubamize mnavyotaka
 
Kila kituo kitakuwa na wapiga kura 450, kwa nini vijana wanaokizunguka wawe 1250? Au we gamba unaleta propaganda?

Kituo maana yake ni pale ww utakapopigia kura, lkn mñaweza kuwa na vituo hata. Vitatu ktk eneo mojà! Wapo pia. Vijana wanaroam vituo vyote, lkn panya road wanaoseek opportunities watakuwa wakijipenyeza mitaani kuona wapi kinawaka nao watumie fursa!
Cha msingi hakuna guarantee kuwa ni wapiga kura tu wa hapo ndio watakaolinda!
Kuna vijana ambao hawajafikia umri wa kupiga kura wengi tu ktk maeneo yetu wenye umri wa 14-17 ambao nao watakuwa sehemu ya. mikusanyiko, pia kitakuwa na watoto ambao watakuja kushuhudia! Angalia mikutano ya kampeni kuna watoto wangapi?
Kutakuwa na kazi kwa polisi kucontrol watu!
 
embu eleza unavyoweza kulinda kura zisiibiwe ukiwa mita 200

Weka wakala unaemwamini ni sio mradi wakala tu, kwenda kukesha kulinda kura kwa vyama vyote ni mwanzo WA kusababisha vurugu tu
 
Wewe fikiria eti vijana 500 wa UKAWA, 700 wa CCM na 50 wa ACT watakuwa wamekizunguka kila kituo cha kupigia kura hapo tarehe 25 Oct kuanzia saa mbili asubuhi hadi kesho yake wakilinda kura za vyama vyao visirubuniwe! Vijana hawa ambao kwa vyo vyote vile wengi wao watakuwa ni wale wasio na kazi (jobless), wakiwemo wavuta bangi, watumiaji wa viroba haramu (gongo), vibaka n.k. Watakuwa wameweka uzio mita 200 toka kituo cha kura. Hakuna huduma choo wala nyingine yo yote kuwahudumia vijana hawa.

Sasa tunaaminishwa kwamba kwa hali hiyo moto hautawaka kweli? Hili wala si jambo la wanasheria, ni suala la usalaama wa wananchi na halina mjadala.

wacha uongo wewe ambaye umesema sio mwanasiasa. sasa watu 1250*62,000=? idadi hiyo umeisikia wapi? walinda kura wawe wengi kuliko wapiga kura?
 
Wewe fikiria eti vijana 500 wa UKAWA, 700 wa CCM na 50 wa ACT watakuwa wamekizunguka kila kituo cha kupigia kura hapo tarehe 25 Oct kuanzia saa mbili asubuhi hadi kesho yake wakilinda kura za vyama vyao visirubuniwe! Vijana hawa ambao kwa vyo vyote vile wengi wao watakuwa ni wale wasio na kazi (jobless), wakiwemo wavuta bangi, watumiaji wa viroba haramu (gongo), vibaka n.k. Watakuwa wameweka uzio mita 200 toka kituo cha kura. Hakuna huduma choo wala nyingine yo yote kuwahudumia vijana hawa.

Sasa tunaaminishwa kwamba kwa hali hiyo moto hautawaka kweli? Hili wala si jambo la wanasheria, ni suala la usalaama wa wananchi na halina mjadala.

Hii ndo shida ya fisiem sasa hatutak haya madudu yaingie kwenye kitu labda muingize kwa BLUETOOTH
 

Attachments

  • 1445139716955.jpg
    1445139716955.jpg
    53.1 KB · Views: 495
Hivi ni kwamba hamana akili au mnajitoa ufahamu?

Kile kizee cha TUME kilisema kila kituo kinakadiriwa kuwa na wapiga kura 450, wewe unasema 1250?

Halafu umesahau kuwa CCM hawalindi kura wala hawana sababu hiyo, kwa ajili wao ndio wezi wenyewe.

Hizo huduma za choo unazozisema, jana pale FURAHISHA zilikuwepo? UMATI wa walinda kura na umati wa mikutano ya kisiasa upi mkubwa? Mbona hamuwekagi vyoo?


Mkuu Umati wa Furahisha umekumaliza kabisa.
 
Na nani kawaambia kura zitalindwa 24 hrs? Bila shaka kituo kikifungwa saa kumi haifiki saa mbili usiku kabla kituo hakijatangaza labda kwa hila maana kura 450 hata nusu saa kuhesabu haitafika kwa kila kituo
 
Back
Top Bottom