Tushirikishane mbinu za kuondoa michirizi

Tushirikishane mbinu za kuondoa michirizi

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
45,278
Reaction score
37,073
Hivi kumbe hii michirizi ya sehemu za makwapani, tumboni, mapajani, nyuma ya magoti n.k huwapata hata wanaume pia? nilidhani ni kwa wanawake tu.

Ni vizuri kushirikishana namna ya kuzizuia tafadhali, naona zinawakosesha amani na kujiamini waungwana...
 
Hivi kumbe hii michirizi ya sehemu za makwapani, tumboni, mapajani, nyuma ya magoti n.k huwapata hata wanaume pia? nilidhani ni kwa wanawake tu.

Ni vizuri kushirikishana namna ya kuzizuia tafadhali, naona zinawakosesha amani na kujiamini waungwana...

Naomba kuuliza pia michirizi ambayo imetokea kwenye juu ya taya kidogo kushuka mpaka shingoni?
 
Hivi kumbe hii michirizi ya sehemu za makwapani, tumboni, mapajani, nyuma ya magoti n.k huwapata hata wanaume pia? nilidhani ni kwa wanawake tu.

Ni vizuri kushirikishana namna ya kuzizuia tafadhali, naona zinawakosesha amani na kujiamini waungwana...
Dawa yake sijuh nn siipend
 
Back
Top Bottom