Tushirikishane 'Apps' nzuri za simu za Android

Naomba munisaidie nime-download mobdro kwenye tablet je nikiondoa tick kwenye UNKNOWN SOURCE hii apps itaendelea kufanya kazi?.
 
Naomba munisaidie nime-download mobdro kwenye tablet je nikiondoa tick kwenye UNKNOWN SOURCE hii apps itaendelea kufanya kazi?.
Hapo unatakiwa utoe hiyo tik ili kuwezesha hiyo app kuingia kwenye tablet yako sababu umeidawnload kutoka store ambayo sio rasmi.
Bila kutoa hiyo tik huwezi install hiyo mobdro
 
Wakuu tafadhali naomba maelekezo toka kwenu nahitaji kuweka avast antitheft ktk tecno y6 yangu naomba maelekezo ya kuirekebisha nikishainstall
Avast anti theft zipo mbili kuna ant theft ambayo "Sio for rooted device na ant theft for rooted device
Hiyo ya kwanza hufanya kazi kwenye simu yoyote ila simu ikipotea na atakae ipata akafanya factor reset na hiyo app inafutika.
Hiyo yapili ambayo ni kwa rooted device ina root proof, yani kama simu yako ume root na ukaiset vizuri hiyo app hata ukifanya factor reset hiyo app haifutiki.
Ila kama simu ume root kwa kingroot haiwezi kufanya kazi kabisa sababu inataka super user na kingroot haina super user.
 
Avast anti theft zipo mbili kuna ant theft ambayo "Sio for rooted device na ant theft for rooted device
Hiyo ya kwanza hufanya kazi kwenye simu yoyote ila simu ikipotea na atakae ipata akafanya factor reset na hiyo app inafutika.
Hiyo yapili ambayo ni kwa rooted device ina root proof, yani kama simu yako ume root na ukaiset vizuri hiyo app hata ukifanya factor reset hiyo app haifutiki.
Ila kama simu ume root kwa kingroot haiwezi kufanya kazi kabisa sababu inataka super user na kingroot haina super user.
naomba jinsi ya kuipata ya rooted phone
 
Na hivi .
0c0dfd35bc9cd453b968f9230331839c.jpg
bd7c91e754b9787e10aa285614ea03d1.jpg


Mkuu nazan uko Halotel inasumbua
 
Sijakushutumu wala kukukejeli, ww mwenywe umesema hiyo app unadownload app zinazouzwa bila kulipia, kama si wizi huo ni nini???. Nyanya inauzwa dukani halafu ww uende ukachukue bila kulipa hela bila taarifa kwa mwenye duka huo sio wizi???. Hakika nafsi yako inajua unayoyatenda ikiwa ni ya haki au laa. Mastercard na visacard zipo kwaajili ya electronic payment system sio kwaajili ya kutolea fedha kwenye atm. No excuse
Weweee tokaaa uanzeee kutumiaa cm ushawahii nunuaa apps ngap???
Kwan nn kinakuuma mr.???
Jamaa kaletaa njia boraaa ya kupata apps sasa unamkosoaa!!!
Mbona hupend maendeleo???
 
Ukiwa na super su unakua na options nyingi sana tofaut na kweny kingroot utakua na king user..mfano kuna hadi blotware zingine huez zitoa kwa king user pia options kama full unroot sidhan kama utaipata ..kikubwa ni features mkuu..pia unaweza kutana na apps flan zikakwambia your device is not well rooted
Its too complicated unaweza usinielewe ila kama umecheza sana na rooting utajua kingroot haina maana

Ila kwa simu za mediatek kama yako nafikir kingroot ndo yenyewe
Kwaio km natumia C8 NITUMIE IP
 
1. Download Luckypatcher
2: Download app kwenye playstore eg MX player
3. Fungua lucky patcher, tafuta MX player
4. Click open menu of Patches
5. Patck
6. Fungua MX player utakuwa umepata premium version
Naomba link ya luckypatcher
 
Super sume ni app mbadala wa kingroot sasa inapo install inaifuta kingroot yenyewe ndio inashika usukani lkn mm nilipojaribu ilichemka hivyo sishauri na wewe ujaribu kwasasa naacha tu hii kingroot.
Kuhusu app inategemea na wewe sasa unapendezwa na app zipi maana zipo ambazo zinahitaji simu iwe rooted ili zifanye kazi vzr.
Mm baada ya ku root sipo deep sana nime weka ifont kwaajili ya ku badali style za maandishi, nime activate anti theft, pia nina chakachua baadhi ya app na games kwa lucky patcher na gamegardian.
Pia na control app zikiwemo na za system kwa kuzi freeze zisifanye kazi ilikupunguzia ram mzigo.
Nitoe link ya luckypatcher
 
Nataka kuroot samsung s 5 yenye lollipop. Nitumie root ipi ambayo itanifaa?
 
Weweee tokaaa uanzeee kutumiaa cm ushawahii nunuaa apps ngap???
Kwan nn kinakuuma mr.???
Jamaa kaletaa njia boraaa ya kupata apps sasa unamkosoaa!!!
Mbona hupend maendeleo???
Ukweli unaujua. Haki na batili vipo dhahiri kwa kila mmoja wetu. Nimesema kweli, ni juu yako kufuata au kutofuata.
 
Nataka kuroot Samsung J1 ace nitumie root ipi?
Je simu inaweza pata madhara gani?
 
Ukweli unaujua. Haki na batili vipo dhahiri kwa kila mmoja wetu. Nimesema kweli, ni juu yako kufuata au kutofuata.
Utandawazi kwasasa ni kama bahari, na bahari haichungwi, wewe ukulinda coco beach watu wasioge...wenzio mtwara na kwingineko watapiga mbizi tu.
So acha sisi wapenda kitonga tuteleze
Hapo ulipo tu wewe simu imejaa free app kibao.
Na ukitaka kila mtu anunue app jiulize swali hizo visa na master card watanzania wangapi wanazo.
Achane ku complicate mambo.
 
Avast anti theft zipo mbili kuna ant theft ambayo "Sio for rooted device na ant theft for rooted device
Hiyo ya kwanza hufanya kazi kwenye simu yoyote ila simu ikipotea na atakae ipata akafanya factor reset na hiyo app inafutika.
Hiyo yapili ambayo ni kwa rooted device ina root proof, yani kama simu yako ume root na ukaiset vizuri hiyo app hata ukifanya factor reset hiyo app haifutiki.
Ila kama simu ume root kwa kingroot haiwezi kufanya kazi kabisa sababu inataka super user na kingroot haina super user.
Kwa hyo mkuu hii kingroot haiwez saidia kuweka avast anti thief kwa siyo iliyo rooted
 
Back
Top Bottom