Haswaaaaa...... hapo ndio mahala pake. We ingia tu Google halafu search Nkiri.com itafunguka. Utasearch muvi unayoitaka itakuja then una download.. Simple sana na MB zake ni nafuu
Hutaki matangazo unataka App developers wakale wapi? Ukitaka huduma za mtandaoni zisizo na usumbufu just Buy/Pay for it, premium services utazipata huduma Muhimu V.i.p, yaan udownload app kwa m.b 20 kitu walichosotea wenzio kukimake alaf wew uwapangie...em tuweni na usiriaz wajameni...