Lengeri
Senior Member
- Jul 3, 2009
- 180
- 15
Mzee Malecela kipindi akiwa waziri mkuu na makamu wa kwanza wa rais alithubutu kutuletea serikali ta Tanganyika akishirikiana na wabunge 55 miongoni mwao Njelu Kasaka na Philip Marmo. Alikubali kukosana na Mwalimu kuwapa watanganyika haki yao, akaminywa na woga wa Mwalimu Nyerere....
Mzee Malecela ni shujaa wa Tanganyika pamoja na G55.
Mzee Malecela ni shujaa wa Tanganyika pamoja na G55.