shirley myles
JF-Expert Member
- May 19, 2018
- 916
- 612
Mkuu wewe haujawahi kufanya uzinzi?Huu ni UFALA (in Mzee wa Upako's voice)....tatizo vijana wengi hamjitambui sasa wewe umeoa au kuolewa huyo X wako alikuwa wapi hasikuowe kama bado mnahisia kati yenu? Waliojitambua hawapati shida kama hizi.X anabaki kuwa X ili kutunza thamani ya Mume au Mkeo.
So sio kweli eti kisa X ndio mkikutana lazima mkumbushie ukiwaona wa hivyo hao asili yao ni UZINZI na wanashindwa kuficha tabia zao.