Jazajuan
Senior Member
- Dec 9, 2017
- 147
- 262
Habari wadau,
Nina mdogo wangu wa kike ameona aombe kusoma open university lakini kutokana na mkanganyiko uliopo inamletea shida ni kozi ipi asomee Kati ya hizo mbili hapo juu na nyengine ya ziada ni Data management.
Naomba tusaidiane kujadili kwa pamoja wanajamvi
Nina mdogo wangu wa kike ameona aombe kusoma open university lakini kutokana na mkanganyiko uliopo inamletea shida ni kozi ipi asomee Kati ya hizo mbili hapo juu na nyengine ya ziada ni Data management.
Naomba tusaidiane kujadili kwa pamoja wanajamvi