Tushare game za android

Tushare game za android

Nili root ikawa inazima nakuwa hakuna unachokifanya, kupeleka kwa fundi fundi akaimalizia kabisa. Ipo tu now kama pambo lkn chanzo ni kutaka ku root. So jiandae kwa yote mawili simu kupona au kufa.
 
Nili root ikawa inazima nakuwa hakuna unachokifanya, kupeleka kwa fundi fundi akaimalizia kabisa. Ipo tu now kama pambo lkn chanzo ni kutaka ku root. So jiandae kwa yote mawili simu kupona au kufa.

duuuuh...mbna unaniogopesha maana nlkua na wazo la kuroot my 4n
 
mkuu hata mm niliroot alafu kuna ciku nikaformat bwana wee sim inawaka inazima inawaka inazima haina mwisho nimehangaika nayo nikashindwa nikampa mtoto anaiburuza chini
 
NJIA YA KUPATA GOLD NA FEDHA BURE NDANI YA GAME KWA AJILI YA KUNUNULIA SILAHA NAKADHALIKA
1 download LUCKY PATCHER na install kwenye sim Lucky Patcher 5.5.7.apk free download cracked on google play HiAppHere Market
2 .fungua na gusa gem kwa muda zitatokea option za hio game chagua MODIFY THE APK
3.baada ya kuchagua hapo itakuja option nyingine na chagua REBUILD INAPP AND LVL EMULATION na ita road kwa muda kama dakika tatu hivi subiri usi cancel
4.mweshoni itakuletea option nyingine bonyeza go to file
5.itakuonesha app ulio itengeneza mahali iliko kwenye sd card
6.futa gemu ulilo liingiza hapo mwanzo lenye vitu vinavyouzwa kwa kutumia phone setting sio lucky patcher setting(unistall)
7. nenda kwenye memory iliko hifadhiwa modified app ulioiona kwenye stage (5 )na install
8.fungua gem na nenda sehemu ambayo ukitaka kununua fedha au dhahabu kwa kutumia fedha yako (us dollars) panapatikana
9.utakuta fedha zipo vile vile zinauzwa bonyeza fedha unazozitaka
10.itatokea message yenye nembo ya lucky patcher usichague chochote we bonya yes bas na utakuta fedha zimeingia za kununulia gari au chochote


enjoy
Vipi mkuu kuna kanjia kakudondoa app zinazouzwa kwa bure?
 
Vipi mkuu kuna kanjia kakudondoa app zinazouzwa kwa bure?

"jinsi ya kupata na kudownload application ambazo zinalipiwa kwenye Google play bure na zenye latest version.

HATUA YA KWANZA:

-download application inaitwa APTOIDE(ni apps ya bure).. ili kuidownload fanya hivi:-nenda kwenye brower yoyote unayoitumia ( OPERAMINI au UC BROWER) nenda sehemu ya google ukaandike APTOIDE then bonyeza search.... kwenye search results utaona sehemu pameandikwa INSTALL-APTOIDE-ANDROID STORE, au unaweza kuclick ile ya kwanza kabisa imeandikwa HOME| aptoide android apps store....nthen click utaona sehemu pameandikwa Install aptoide....nenda paclick(kubonyeza) then download hiyo apk then fanya kuistall katika simu yako

HATUA YA PILI

-Kuchua karatasi na pen then nenda kwenye PLAY STORE ...andika majina ya application za kulipia ambazo unazitaka.....ukimaliza nenda kafungue .... application yako ya APTOIDE ulioidownload.....ikifunguka ipo kama play store.....kwa juu upande wa kulia kunasehemu pa kusearch....eeehee kabla ya hivyo vidoti vitatu....paclick..... then unakumbuka majina ulioandika chini ya application ambazo unazitaka haya andika hapo then search itakuja hapo na utaidownload ......isipoonekana nenda kwa chini kidogo utakuta pameandikwa SEARCH OTHER STORES nenda pa click itakuletea complete action using.........

changua brower yoyote hapo.....zitakuja hapo angalia aina ya application unayoitafuta.....angalia yenye wingi wa kudownloduiwa....then click install .....HIVYO NDO JINSI YA KUDOWNLOAD application za kulipia BURE.

JAMBO LA MWISHO JINSI YA KUFANYA SCANNING ya document kwa kutumia simu yako ya android HAINA HAJA ya kutoa ELFU MOJA ya kufanya scanning kwenye INTERNET CAFE .... haya fanya hivi..... nenda kwenye application ya APTOIDE kama nilivyokufundisha hapo juu nenda katafute application inaitwa CAMSCANNER PREMIUM kwenye google play ni dola 5 ila nimekufundisha jinsi ya kuipata bure ......ukishaidownload ifungue then utaona humo humo kuna sehemu ya camera .... haya sasa chukua cheti chako au document yoyote....ipinge picha kutumia hiyo application ....ukimaliza itakuletea uiweke vizuri then kwa chini kulia kunasehemu ipo kama tiki.....haya pa click hapo itakuscania document then itasave kwenye simu tayali kuituma kwenye emails
 
njia hii imenisaidia kumaliza mission zote kwny game la gunship battle....kwa yeyote anayefaham magame mengne yanayofanana na gunship battle kama kutumia ndege,meli,tanks ambayo ni mazuri naomba anisaudie kuniorodheshea au anipe link niweze kuyadownload
 
7)Bangbang
8)wrestling revolution
9)unroll me
10)real track park 3D
11)punch boxing
12)pool billiards
13)Extreme car driving
14)army sniper
15)world of tanks
To be cont...
Nazilizo tajwa na wadau wengine...

Mkuu ningeomba unitajie gamez nzur zinazohusu mission za kijeshi pamoja na mapambano kwa kutumia labda ndege,meli,tanks n.k
 
*Navy gunshoot
*Sniper traffic hunter
*Morden sniper
*Pool billiard
*Bus simulator 2015
*Zombie World War
Ukiwa na hizo Game, utasahau kabisa Fb, Whatsapp, Insta n.k..... Ila utakumbuka Power Bank n.k
 
*Navy gunshoot
*Sniper traffic hunter
*Morden sniper
*Pool billiard
*Bus simulator 2015
*Zombie World War
Ukiwa na hizo Game, utasahau kabisa Fb, Whatsapp, Insta n.k..... Ila utakumbuka Power Bank n.k

dah asante sana mkuu....ila hzo sizinaweza kuplay kwny simu yenye 1GB ram?!
 
Naomben msaada jinsi ya kudownload GTA SAN ANDREAS
 
Jaribuni pia ku download
Flight simulator
C-130 Training, ni nzuri nani MB59 TU
 
msaada Wa game nzuri za kike kike,aisee nimecheki magemu yenu naona mabunduki bunduki!!okay,mie napendelea game kama zile Sims3 ila kwenye android either siioni au nikiiona basi inauzwa..msaada wakuu
 
msaada Wa game nzuri za kike kike,aisee nimecheki magemu yenu naona mabunduki bunduki!!okay,mie napendelea game kama zile Sims3 ila kwenye android either siioni au nikiiona basi inauzwa..msaada wakuu

Nimependa mistari yako, eti game za kike kike duuuh. Haya kwenye play store kuna kipengele kinasema categories. Nadhan kinaweza kukusaidia.
 
Back
Top Bottom