Mla Bata
JF-Expert Member
- Jan 24, 2013
- 6,749
- 13,765
Wasalaam.
Tusemezane kidogo,
Hii inawahusu sana wadada/wanawake lakini wanaume wenzangu tunaweza kujifunza kitu pia.
"Samahani",
Neno lenye herufi nane lakini lenye maana kubwa sana linapotamkwa na mkoseaji kwa mkosewa.
Tuelewane hapa, si lazima uwe umekosea au mkoseaji ili uombe msamaha lahasha! Omba msamaha pale unapohisi kuwajibika kwa kosa ama jambo fulani, lakini pia kuepusha "mambo yasiwe mengi".
Kwenye kuomba msamaha epuka kutumia neno "basi samahani", badala yake sema "nimekosea mpenzi wangu/mama angu (n.k), naomba nisamehe sana" Hii inasound vizuri zaidi, ikiwezekana hata facial, body expression yako ionyeshe au kumaanisha kile unachokitamka.
Hii si tu itakutofautisha na watu wengine, lakini pia itaonyesha uungwana wako mbele za watu.
Wasalaam!
Tusemezane kidogo,
Hii inawahusu sana wadada/wanawake lakini wanaume wenzangu tunaweza kujifunza kitu pia.
"Samahani",
Neno lenye herufi nane lakini lenye maana kubwa sana linapotamkwa na mkoseaji kwa mkosewa.
Tuelewane hapa, si lazima uwe umekosea au mkoseaji ili uombe msamaha lahasha! Omba msamaha pale unapohisi kuwajibika kwa kosa ama jambo fulani, lakini pia kuepusha "mambo yasiwe mengi".
Kwenye kuomba msamaha epuka kutumia neno "basi samahani", badala yake sema "nimekosea mpenzi wangu/mama angu (n.k), naomba nisamehe sana" Hii inasound vizuri zaidi, ikiwezekana hata facial, body expression yako ionyeshe au kumaanisha kile unachokitamka.
Hii si tu itakutofautisha na watu wengine, lakini pia itaonyesha uungwana wako mbele za watu.
Wasalaam!