Tusemezane Jumapili; Jinsi ya kuondoa uchungu wa moyo

MTAZAMO

JF-Expert Member
Feb 8, 2011
19,643
33,439
Wanabodi,

Wengi tuna tatizo la uchungu wa moyo kwa kujua au kutokujua. Hii inaweza kuwa ni sehemu ya kikwazo katika maisha yako kwasababu ya kushindwa kuachilia hilo na kusamehe.

Nimeweka link hapo chini ili ufatilie somo hili kutoka kwa Mwl.Pascal Massenge na Xsuper Urio. Somo hili linaendelea pale Emaus nyuma ya stendi kuu ya mabasi ya mikoani Ubungo. Karibuni leo pia kuanzia saa nane mchana.



 
Wanabodi,

Wengi tuna tatizo la uchungu wa moyo kwa kujua au kutokujua. Hii inaweza kuwa ni sehemu ya kikwazo katika maisha yako kwasababu ya kushindwa kuachilia hilo na kusamehe.

Nimeweka link hapo chini ili ufatilie somo hili kutoka kwa Mwl.Pascal Massenge na Xsuper Urio. Somo hili linaendelea pale Emaus nyuma ya stendi kuu ya mabasi ya mikoani Ubungo. Karibuni leo pia kuanzia saa nane mchana.



Mkuu hilo jina la ' Massenge ' liko sawa? Pascla Massenge hatari sana Mkuu!
 
kwa nondo za emmaus hakuna padri mkatoliki anayeweza kuzihimiri dats why wanawaletea mizengwe huko maparokiani
 
kwa nondo za emmaus hakuna padri mkatoliki anayeweza kuzihimiri dats why wanawaletea mizengwe huko maparokiani
Mkuu mababa wanatoa support kubwa sana ...wachache wasioelewa hawakosekani kwenye jambo lolote ....
 
Back
Top Bottom