chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 7,581
- 15,721
Kama ufanyi shiriki basi kaishi porini na wanyama tu!
Asilimia kubwa mpaka wewe uliyesoma post hii shiriki umefanya!
kwa nini!
kuna kipindi unapata matatizo labda kuumwa, kukosa pesa, biashara kuyumba, mambo kwenda kombo na n.k. Na kila hatua umechukua inafikia ujaribu kwenda kwa sangoma tu ila kuna watu watajifanya shiriki kama hawajui .
kama hupo sehemu hizi basi lazima ufanye !
sio utani!
[mention]Mshana Jr [/mention] kuna uzi wake ubabe wa kariakoo mlikuwa mfahamu.
kama ujawahi kuwa shiriki basi kariakoo pasikie kuna shirki ukitaja hapa unaweza kushindwa kufanya biashara.
Asilimia kubwa mpaka wewe uliyesoma post hii shiriki umefanya!
kwa nini!
kuna kipindi unapata matatizo labda kuumwa, kukosa pesa, biashara kuyumba, mambo kwenda kombo na n.k. Na kila hatua umechukua inafikia ujaribu kwenda kwa sangoma tu ila kuna watu watajifanya shiriki kama hawajui .
kama hupo sehemu hizi basi lazima ufanye !
- Ofisini au maofisini
- Biashara za soko
- Biashara zinazofanana na zipo sehemu moja au ushindani mkubwa
- Kwenye siasa kuanzia kampeni mpaka chaguzi
- Michezoni hapa wale simba na yanga wasikatae na michezo mingine
- Mashuleni na mavyuoni
- Lifestyle tunayo ishi mtaani
- Vyeo na kipato
- Ufugaji ,ulimaji na uvuvi
- Migodini
- Mafanikio
- Nyumba za ibada makanisani na msikitini
sio utani!
[mention]Mshana Jr [/mention] kuna uzi wake ubabe wa kariakoo mlikuwa mfahamu.
kama ujawahi kuwa shiriki basi kariakoo pasikie kuna shirki ukitaja hapa unaweza kushindwa kufanya biashara.