Matendo Andrew
JF-Expert Member
- Apr 1, 2014
- 748
- 365
Nimekuwa nikijaribu kupitia pitia mitandaoni nikitaka kujua ukweli juu ya biashara hii ya tax kwa njia ya mtandao kwasababu nafikiria kuingia huko.
Nimekuwa pia nikitafuta madereva wa kazi hizo kupata uzoefu lakini naona ngoma droo. Sipati majibu ya matumaini moja kwa moja, kuna ambao wanasema kazi ngumu, kuna ambao wanasema sio kazi mbaya endapo huna cha kufanya na wachache wanaosema sio mbaya ni nzuri.
Najaribu kupiga kura naona ngoma droo, nikawaza kutumia majukwaa haya makini kupata uzoefu zaidi ili nione kama vimilioni 7 au 8 naweza kuweka huku? (Gari nitaendesha mwenyewe) ndio plan yangu, na nina vimiradi vingine ambavyo tayari vinatembea.
Karibu.
Nimekuwa pia nikitafuta madereva wa kazi hizo kupata uzoefu lakini naona ngoma droo. Sipati majibu ya matumaini moja kwa moja, kuna ambao wanasema kazi ngumu, kuna ambao wanasema sio kazi mbaya endapo huna cha kufanya na wachache wanaosema sio mbaya ni nzuri.
Najaribu kupiga kura naona ngoma droo, nikawaza kutumia majukwaa haya makini kupata uzoefu zaidi ili nione kama vimilioni 7 au 8 naweza kuweka huku? (Gari nitaendesha mwenyewe) ndio plan yangu, na nina vimiradi vingine ambavyo tayari vinatembea.
Karibu.