fimboyaukwaju
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 5,750
- 7,460
Tupunguze kuwasakama kwa maneno,masingo maza.Kila siku mara hivi,mara vile kuhusu singo mazas.Wapo vizuri mno kwa kila kitu
Punguza wewe mkuu.Tupunguze kuwasakama kwa maneno,masingo maza.Kila siku mara hivi,mara vile kuhusu singo mazas.Wapo vizuri mno kwa kila kitu
Inaombwaje..?Kuna phaller atakuja kukwambia haiombwi hivyo
Inaombwaje..?
Mfano na wewe ukitaka kuiomba unaombaje..?
Mfano na wewe ukitaka kuiomba unaombaje..?
Hujawahi kukutana na uliyoipenda ukaitaka..?Nalala nayo mimi naiombaje
Hujawahi kukutana na uliyoipenda ukaitaka..?
Naona jukwaa Leo lilikuwa halina msg za single maza, umeona uanzishe! Sawa basi.Tupunguze kuwasakama kwa maneno,masingo maza.Kila siku mara hivi,mara vile kuhusu singo mazas.Wapo vizuri mno kwa kila kitu
chawi kubwa wewe...😂Bahati nzuri nilizokuwa nazitaka zilikuwa zinanitaka pia 😂
Tupunguze kuwasakama kwa maneno,masingo maza.Kila siku mara hivi,mara vile kuhusu singo mazas.Wapo vizuri mno kwa kila kitu
😂 ukiutaka uchawi wangu niambie nikuazimechawi kubwa wewe...😂